DOCHA (@ALugandu) 's Twitter Profileg
DOCHA 

@ALugandu

Digital Marketing || Marketer || Brand promoting || @ManCity || @SimbaSCTanzania || @FCBarcelona||Content creator|| Driver || Ambassador @Pichanzurii

ID:1249594614543200257

calendar_today13-04-2020 07:06:01

268,9K Tweets

56,0K Followers

7,4K Following

winharder_(@winharder_) 's Twitter Profile Photo

Nafasi ya vijana katika uchaguzi ni ndogo.Jamii yangu inamtambua mtoto wa kike kama mtu asiye na thamani, wanamchukulia kama bidhaa.Hadi kwenye uchaguzi tunabaguliwa~|Loveness Athman kutoka Nzega,Tabora


Women Fund Tanzania Trust
TGNP

Nafasi ya vijana katika uchaguzi ni ndogo.Jamii yangu inamtambua mtoto wa kike kama mtu asiye na thamani, wanamchukulia kama bidhaa.Hadi kwenye uchaguzi tunabaguliwa~|Loveness Athman kutoka Nzega,Tabora #MwanamkeNaUongoziTZ @WomenFund_TZ @tgnptz
account_circle
winharder_(@winharder_) 's Twitter Profile Photo

Kwenye vijiji vipo 11915 wanawake ni 246 sawa na 2%.
Wenyekiti wa serikali za mitaa 3643 wanawake ni 528 sawa na 12.6
Wenyekiti wa vitongoji 62612 wanawake 4171 sawa na 6.7%~|Victoria Lihiru


Women Fund Tanzania Trust
TGNP

Kwenye vijiji vipo 11915 wanawake ni 246 sawa na 2%. Wenyekiti wa serikali za mitaa 3643 wanawake ni 528 sawa na 12.6 Wenyekiti wa vitongoji 62612 wanawake 4171 sawa na 6.7%~|Victoria Lihiru #MwanamkeNaUongoziTZ @WomenFund_TZ @tgnptz
account_circle
viola julius(@VwalaViola) 's Twitter Profile Photo

Tuna madiwani 1000 na meya anapatikana kwa kupigiwa kura na madiwani.
Je wanawake huwa hawajitokezi kugombea au wakijitokeza wanashindwa?

~|Willium Maduhu


Women Fund Tanzania Trust
TGNP

Tuna madiwani 1000 na meya anapatikana kwa kupigiwa kura na madiwani. Je wanawake huwa hawajitokezi kugombea au wakijitokeza wanashindwa? ~|Willium Maduhu #MwanamkeNaUongoziTZ @WomenFund_TZ @tgnptz
account_circle
KAPETO🇹🇿(@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

📍Mradi wa Maji Chemchem

➡️Mradi huo unajumuisha tanki lenye ujazo wa lita 135,000 na vituo 14 vya kuchotea maji.

➡️Ujenzi umesikia 85% na ukikamilika utanufaisha wananchi 6,010 wa Kijiji cha Chemchem.

anatekeleza miradi ya maji ili kuleta ahueni kwa kina Mama.

📍Mradi wa Maji Chemchem ➡️Mradi huo unajumuisha tanki lenye ujazo wa lita 135,000 na vituo 14 vya kuchotea maji. ➡️Ujenzi umesikia 85% na ukikamilika utanufaisha wananchi 6,010 wa Kijiji cha Chemchem. #MamaYukoKazini anatekeleza miradi ya maji ili kuleta ahueni kwa kina Mama.
account_circle
Holy(@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Baadhi ya vifungu vya vinambana mtoto kutoka baada ya kuingia hali inayopelekea kukosa haki zake za msingi na kubakia mtumwa kwenye

Baadhi ya vifungu vya #SheriaYaNdoa vinambana mtoto kutoka baada ya kuingia hali inayopelekea kukosa haki zake za msingi na kubakia mtumwa kwenye #NdoaZaUtotoni
account_circle
Happie💕(@Happie_Thom) 's Twitter Profile Photo

“Mwaka huu tumejipanga na tunakuja kitofauti , tutakua na podcast panel na tutazindua podcast yetu ya Azaki tuongee “ Prudence Gloria

“Mwaka huu #WikiYaAzaki2024 tumejipanga na tunakuja kitofauti , tutakua na podcast panel na tutazindua podcast yetu ya Azaki tuongee “ Prudence Gloria #CSOWeek2024Launch
account_circle
iPhone Used Genuine (@iPhone_Usedtz) 's Twitter Profile Photo

iPhone 11

128GB 🔋100%
Blue Color
Tsh 700,000/= tzs

NB:Mikoani tunatuma malipo
Baada ya kupokea
Exchange & Top up allowed
📞/Whatsapp 0683678977
KINDLY REPOST ⛓️‍💥🔗🌉

iPhone 11 128GB 🔋100% Blue Color Tsh 700,000/= tzs NB:Mikoani tunatuma malipo Baada ya kupokea Exchange & Top up allowed 📞/Whatsapp 0683678977 KINDLY REPOST ⛓️‍💥🔗🌉
account_circle
KARIAKOO MODERN STORE(@kariakoo_modern) 's Twitter Profile Photo

IPHONE 8 PLUS (Pre-owned) ✨
RAM: 3gb , ROM: 256gb
Fingerprint & True tone ✔️
Warranty: 6 months
🔋: 100% , E-Sim ✔️

Tsh.360000/=

📞 : 0687600847
🔗 WhatsApp: wa.me/message/MD5MUZ…
Exchange ✔️

📍China Plaza, Kariakoo

Kindly repost 🙏

IPHONE 8 PLUS (Pre-owned) ✨ RAM: 3gb , ROM: 256gb Fingerprint & True tone ✔️ Warranty: 6 months 🔋: 100% , E-Sim ✔️ Tsh.360000/= 📞 : 0687600847 🔗 WhatsApp: wa.me/message/MD5MUZ… Exchange ✔️ 📍China Plaza, Kariakoo Kindly repost 🙏 #kkoomodern #iPhoneKariakoo
account_circle
viola julius(@VwalaViola) 's Twitter Profile Photo

Mchakato wa Dira2050 Ya Maendeleo imejikita katika sehemu kuu Nne ambazo
1. Utambuzi wa Stakeholders
2. ⁠kuchukua Maoni na kuyachuja
3. ⁠Maamuzi ya Serikali (Idhini ya Bunge)
4. ⁠ Utelekezaji Wa Dira
Ismail Biro

Mchakato wa Dira2050 Ya Maendeleo imejikita katika sehemu kuu Nne ambazo 1. Utambuzi wa Stakeholders 2. ⁠kuchukua Maoni na kuyachuja 3. ⁠Maamuzi ya Serikali (Idhini ya Bunge) 4. ⁠ Utelekezaji Wa Dira Ismail Biro #WikiYaAzaki2024
account_circle
Sally Brown🌷(@officielsalome) 's Twitter Profile Photo

Mchakato wa Dira2050 Ya Maendeleo imejikita katika sehemu kuu Nne ambazo
1. Utambuzi wa Stakeholders
2. ⁠kuchukua Maoni na kuyachuja
3. ⁠Maamuzi ya Serikali (Idhini ya Bunge)
4. ⁠ Utelekezaji Wa Dira
Ismail Biro

Mchakato wa Dira2050 Ya Maendeleo imejikita katika sehemu kuu Nne ambazo 1. Utambuzi wa Stakeholders 2. ⁠kuchukua Maoni na kuyachuja 3. ⁠Maamuzi ya Serikali (Idhini ya Bunge) 4. ⁠ Utelekezaji Wa Dira Ismail Biro #WikiYaAzaki2024
account_circle
Sylah arts(@Pichanzurii) 's Twitter Profile Photo

Hii Vacuum moja nzuri sana ambayo ina uwezo wa kutunza joto .Njoo ujipatie chupa ikiwa engraved na jina lako au logo yako 🌸

Tsh 25,000

Weka oda yako leo ili uweze kujipatie chupa nzurii kama hii .

📍Sinza kumekucha
☎️ 0786445451

Tunasafirisha mikoa yote .

Hii Vacuum moja nzuri sana ambayo ina uwezo wa kutunza joto .Njoo ujipatie chupa ikiwa engraved na jina lako au logo yako 🌸 Tsh 25,000 Weka oda yako leo ili uweze kujipatie chupa nzurii kama hii . 📍Sinza kumekucha ☎️ 0786445451 Tunasafirisha mikoa yote .
account_circle