Ukifika katika makumbusho ya Dr Livingstone Ujiji-Kigoma utakuna na picha ya Chuma na Susi.
Hao wawili walikuwa ni wafanyakazi waliomsaidia sana wakati amefika mwambao wa ziwa Tanganyika.
#ElimikaWikiendi
Barabara ya maisha yako ni ndefu. Kama barabara nyinginezo itakuwa mtihani. Utakuna na sehemu za mashimo pita polepole, za tope tumia maarifa, za utelezi punguza sana spidi, za kona kali kumbuka kupinduka. Mshika usukani wa maisha yako ni wewe. Kamwe usikate tamaa. #KSK_Balozi
Unauza bidhaa zako unataka ziwe za kimataifa zaidi utengeneze mwenyewe chapa, QR Code karibu #DataTamasha2021 utakuna na wataalam na utasogea mbele zaidi
datatamasha.dlab.or.tz
#DataTamasha2021
#UnboxingData
#DigitalEconomy
#KimeiVideoCoach
Je wajua mabasi yaliyokuwa na TV enzi hizo, kwenye jina la kampuni lazima utakuna na neno VIDEO🙌
Ila sikuhizi yana Choo, ila hamna neno Choo kwenye jina 😂 Mifano kwenye comments....
Alcoin Daliyᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠ༝༝ᅠ༝ᅠ༝ᅠ༝ᅠ༝ᅠ༝ᅠ༝ᅠ༝ᅠ༝ᅠ༝ @sandra_bosset niw'aa wooo muno kwona mukamba akikanya maundu ma utaku na ni musomu.
2. Michezo Na Wachezaji
Football kwa team zilizojisajiri, hapa utakuna na Malejendi ROHOMBAYA FC. Kama unavyojua msisimko wa mpira wa miguu. Achana na ile ya mashabiki ya Yanga na Mikia hadi Ankali Selbinho Soldado akacheza na Eng. Ndembo Jafari akawa kocha mbele ya Senzo.