Ni siku nyingine & wakat mwingine namshukuru Mungu & watu wote mnaojitolea kupigania haki & usawa kwenye Taifa letu. Mimi ni mzima wa afya nimepokea salam nyingi & watu wengi wakiofia ukimya wangu tokea Watu wale walipojaribu kuniteka 12/03/24. NIMERUD RASMI KUTETE TAIFA LANGU.