Ukifariki ofisini kwako watakutoa kwenye group la WhatsApp kabla hata hajazikwa, siku ya mazishi kazini kwako kuna wata wataendelea na kazi zao kama kawaida.
Jifunze zaidi kujali familia yako zaidi, kazi sio kila kitu kwenye maisha.
Kila siku mpya inakupa nafasi ya kujitafuta na kufanya mabadiliko kwenye maisha yao. Kwanini ukate tamaa while life is full of opportunities and possibilities?
Jamii nyingi za Kanda ya Ziwa, Baba akifariki, watoto wa Kiume walikua wanaenda kulelewa ujombani. Do you know the logic behind? Boys need a father figure to guide them.
Kun faya kun, No matter how much difficult it seems, it can with that Kun. Allah can again turn and bring the brightness in your life. It will shine again. His Kun is all you need.
'Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana.'
Watu wameamua tuu kusambaza mahusiano yanayofeli kuliki yanayofanikiwa, ni jambo linafanyika kimkakati sana, lengo ni kuifanya Taasisi ya familia ionekane sio muhimu kama ilivyokua awali. Nadhani madhara tumeanza kuyaona mdogo mdogo.
Enyi watu! Zihesabuni nafsi zenu kabla hazijahesabiwa! Nayapimeni matendo yenu kabla hayajapimwa! Najiandaeni na mkutano mkubwa mbele za Mola wenu Mlezi! Hakika leo ni matendo bila ya hisabu, na kesho ni hisabu bila ya matendo.