Official Bavicha Taifa
@bavicha_taifa
Chadema Youth Council,
E-mail: [email protected]
ID:975657990664671234
http://www.chadema.or.tz 19-03-2018 08:59:26
10,6K Tweets
141,0K Followers
198 Following
Follow People
Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu ataongoza maandamano ya amani Arusha tarehe 25 Aprili 2024. Maandamano hayo ni utekelezaji wa #AzimioLaMtwara .
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Wiki ya maandamano ya amani inaanzia Bukoba, mkoani Kagera tarehe 22 Aprili 2024, ambapo mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe ataongoza maandamano hayo.
#VuguvuguLaKudaiHaki
#WikiYaMaandamano
Kesho tarehe 5 Aprili 2024, saa tano kamili asubuhi Baraza litazungumza na watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Dar es salaam. Mzungumzaji atakuwa mwenyekiti Mhe. John Pambalu. Waandishi wote mnakaribishwa.
Leo tarehe 06 Machi 2024 Chadema kupitia mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe kitatangaza ๐๐ญ๐๐ ๐๐ข ๐๐ ๐ ๐ง๐ช๐๐ฅ๐. Mbowe atatangaza azimio hilo kupitia mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika Luwa Hotel iliyopo Mtwara kuanzia ๐๐ฎ๐ฎ 6 ๐ธ๐ถ๐บ๐ถ๐น๐ถ ๐บ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ป๐ฎ
Maandamano ya amani jijini Mbeya tarehe 20 Februari 2024. Maandamano hayo yatahitimishwa na mkutano wa hadhara utakaofanyika katika uwanja wa Ruanda Nzovwe.
#VuguvuguLaKudaiHaki
Haki haiombwi, haki inadaiwa. Tuungane katika #VuguvuguLaKudaiHaki , tujitokeze kwa wingi katika maandamano ya amani yatakayofanyika katika majiji ya Mwanza, Mbeya na Arusha.
Katibu Mwenezi Bavicha Taifa Mhe. Twaha Mwaipaya akitoa hamasa ya maandamano nje ya uwanja wa Kirumba Mwanza baada ya mechi ya Simba Sports Club na Azam FC.
Tarehe 15 Februari 2024 l, Chama kitaongoza watanzania katika maandamano ya amani yatakayofanyika katika Jiji la Mwanza. Maandamano hayo yatahitimishwa katika uwanja wa Furahisha.
#VuguvuguLaKudaiHaki
Zimebaki siku ๐๐ถ๐๐ฎ (๐ฌ๐ต) kuelekea maandamano ya amani Jijini Mwanza.
#VuguvuguLaKudaiHaki
Maadamano ya amani mwezi huu wa Februari 2024 katika majiji matatu.
1. Mwanza tarehe 13/02/2024
2. Mbeya tarehe 20/02/2024
3. Arusha tarehe 27/02/2024
#VuguvuguLaKudaiHaki
Magari ya matangazo yakiwa tayari kuingia katika mitaa ya jiji la Da es salaam kufanya matangazo juu ya maandamano ya amani Januari 24, 2024.
#VuguvuguLaKudaiHaki
Zimebaki siku ๐บ๐ฏ๐ถ๐น๐ถ (๐ฌ๐ฎ) kuelekea maandamano ya amani Januari 24, 2024.
๐ง๐จ๐ก๐๐๐ง๐๐๐ ๐ฆ๐๐ฅ๐๐๐๐๐
1. Kuondoa Miswada mibovu 3 Bungeni.
2. Kupunguza gharama za maisha
3. Ianze mchakato wa kuboresha Katiba ya 1977
4. Kusikiliza na kuheshimu maoni ya watu
Zimebaki siku ๐๐ฎ๐๐ (๐ฌ๐ฏ) kuelekea maandamano ya amani Januari 24, 2024.
๐ง๐จ๐ก๐๐๐ง๐๐๐ ๐ฆ๐๐ฅ๐๐๐๐๐
1. Kuondoa Miswada mibovu 3 Bungeni.
2. Kupunguza gharama za maisha
3. Ianze mchakato wa kuboresha Katiba ya 1977
4. Kusikiliza na kuheshimu maoni ya watu
'Mashindano ya AFCON yataendelea kuwepo. Nitashiriki maandamano ya amani ya siku ya tarehe 24 Januari 2024, yatakayofanyika wiki ijayo.' Mhe. Tundu Antiphas Lissu
#VuguvuguLaKudaiHaki