EastAfricaRadio
@earadiofm
Official account for East Africa Radio
ID:386954529
08-10-2011 06:27:04
178,2K Tweets
1,2M Followers
9 Following
Follow People
Kupitia #WeekendBreakfast Sajenti Amani Hassan ambaye ni Afisa Habari na Elimu kwa Umma toka Jeshi la zimamoto na uokoaji Kinondoni anasema walio wengi wanakariri kuwa maji yanazima kila aina ya moto lakini siyo sahihi 'mafuta hayazimwi na maji, gesi haizimwi na maji'. Ameongeza…
Kupitia #WeekendBreakfast Sajenti Amani Hassan, Afisa Habari na Elimu kwa Umma toka Jeshi la zimamoto na uokoaji Kinondoni anasema walio wengi wanakariri kuwa maji yanazima kila aina ya moto lakini siyo sahihi 'mafuta hayazimwi na maji, gesi haizimwi na maji'. Ameongeza kuwa kwa…
#BURUDANI : Mwigizaji wa muda mrefu kwenye tasnia ya filamu hapa nchini Asha Jumbe maarufu kama White Maria @whitemaria_og akizungumzia uhusiano wake na Mwigizaji mwenzake Mrembo @wemasepetu.
#Burudani #EastAfricaTV #HainaKuchoka
#MAMAMIA : 'Kitu ambacho kinapoza, na kitu ambacho kinaondoa shari, ni maji ya kuoga, na watu wengi hawaogi, kwa mfano wakina Mama wengi hawaogi, wananawa' - Sheikh Mussa, Mkurugenzi @maajabu18
#MamaMia #PilikaPilika #HainaKuchoka #EastAfricaRadio
#MAMAMIA : 'Kuna vitu ambavyo pia watu wanatengeneza, kwa mfano kuweka kope, kutengeneza makalio, kubandika kucha, tunatengeneza urafiki na shetani, na watu ambao wanaweka vitu zaidi wanaongoza kwa stress' - Sheikh Mussa, Mkurugenzi @maajabu18
#MamaMia #BonyezaLink #HainaKuchoka …
#5Selekt : Hivi mapenzi yamewahi kukuumiza?
Comment yako itaruka live kupitia #5Selekt ya #EastAfricaTV , usikose kutazama muda huu saa 11 jioni.
#EastAfricaTV #Chemba #HainaKuchoka
#BURUDANI : Kwenye hizi picha za Marioo Marioo .tz na baby mama wake Paula @therealpaulahkajala (mjamzito), tuambie hapa maoni yako kama mtoto atakuwa wa kiume au wa kike ungependa aitwe jina gani?
Cc @rich_msafii @clementthehero
#EastAfricaTV #EastAfricaRadio #Marioo #Paula …