EastAfricaTV
@eastafricatv
Official EastAfricaTV (EATV) Twitter
Email: [email protected]
ID:169557169
http://www.eatv.tv 22-07-2010 16:39:48
169,9K Tweets
1,7M Followers
7 Following
Follow People
#MICHEZO Moja kati ya mashaki wa #Yanga anaefahamika kama Jofu Master amefunguka ya moyoni kabisa na kusema kuwa ukiwa unaumwa unaweza kuangalia mechi ya Yanga na ukapona kabisa bila ata ya kutumia dawa
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #Michezo #HainaKuchoka #KipengaXtra …
#FUNGUKA : Tuandikie comment yako, halafu sisi tutaruka nayo live ndani ya #EastAfricaTV saa 9:00 alasiri.
#EastAfricaTV #EastAfricaRadio #Funguka #HainaKuchoka #Marafiki #Sikukuu #Eid2024 #MajangaYaMaji #Mafuriko #Tahadhari
#KIPENGAXTRA Leo Kuelekea michezo wa #Simba Sc dhidi ya #IhefuSc mchambuzi kutoka #EastAfricaTV @wakanda_republic amechambua na kusema leo Simba anaenda kushinda mechi.
Je, vipi kwa upande wako ni kweli Simba anaenda kushinda leo?
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #Simba …
#WeekendBreakfast Sajenti Amani Hassan, Afisa Habari na Elimu kwa Umma toka Jeshi la zimamoto na uokoaji Kinondoni amesema kuna muda watoto wanachezea simu na kupiga kwenye jeshi hilo kusalimia na wanatumia muda huo kuwaelimisha kuwa hiyo ni namba ya dharura na kufanya hivyo ni…
Kupitia #WeekendBreakfast Sajenti Amani Hassan ambaye ni Afisa Habari na Elimu kwa Umma toka Jeshi la zimamoto na uokoaji Kinondoni anasema walio wengi wanakariri kuwa maji yanazima kila aina ya moto lakini siyo sahihi 'mafuta hayazimwi na maji, gesi haizimwi na maji'. Ameongeza…
#BURUDANI Rapa @Moni_Centrozone umuhimu wa muziki wa unavyopokolewa na mashabiki kwenye shows.
#FridayNightLive #FNL #MoniCentrozone
#BURUDANI @Moni_Centrozone akifunga sababu za wasanii wa HipHop kutoonekana kwenye shows.
#FridayNightLive #FNL #MoniCentrozone
Wananchi na baadhi ya wafanyabiashara wameonyesha wasiwasi wao juu ya nauli za treni ya kisasa #SGR ambayo inasubiriwa na wengi kuona ikianza rasmi safari zake.
#EATVSAA1
Kila Jumatatu - Ijumaa
Saa 1:00-2:00 Usiku
#UtajiriWaHabari
#HainaKuchoka
Baada ya ajali ya gari la shule kuua wanafunzi zaidi ya 6 jijini Arusha, mmoja wa manusura (mtoto) wa ajali hiyo amesema dereva alileta uzembe na kupelekea ajali hiyo.
#EATVSAA1
Kila Jumatatu - Ijumaa
Saa 1:00-2:00 Usiku
#UtajiriWaHabari
#HainaKuchoka
#BURUDANI : Mwigizaji wa muda mrefu kwenye tasnia ya filamu hapa nchini Asha Jumbe maarufu kama White Maria @whitemaria_og akizungumzia uhusiano wake na Mwigizaji mwenzake Mrembo @wemasepetu.
#Burudani #EastAfricaTV #HainaKuchoka