MTABIRI: Yanga Itashinda Goli5 Kwenye Mchezo Wake Ujao . PETER MSECHU: Ali Kamwe Umetuacha Ooooho Ulikua Unaisemea Yanga Kwa Mazuri Leo Haupo Na Sisi Pengo Lako Halizibiki Pumzika Shujaa๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ
Oyaaaaaa Oyaaaaaa Oyaaaaaaa๐คฃ๐๐ ๐คฃ๐๐ ๐ ๐. Tunawaomba CAF Hawa Kina Peter Msechu Musiwape Mamelodi Wala Al Ahly, Wapeni Wajela Wajela Tu. Waishie hapo kwa Mwakarobo ๐ ๐คฃ๐
Top in Dar (TID) amefunguka ya moyoni baada ya kufanyiwa mahojiano ya moja kwa moja kwenye chaneli moja nchini ...akisikika akizungumzia namna msanii Peter Msechu anavyokuwa na wepesi wa kutunga mashairi ya kuwakimbia wapendwa wetu waliotangulia .... video kweny comment๐