Kijana wa mbogamboga amegoma kabisa kuwa chawa, watamsumbua sana MaCCM, na wanaweza hata kumfukuza na kumvua uanachama lakini amesema ukweli, kwamba, fomu ya kugombea Urais haitoki moja kama cheti cha kifo. Mbogamboga wengi washindane dhidi ya Hanganya. Ndiyo anamaanisha!
Bodaboda wakibishana wenyewe kwa wenyewe baada ya kumsaidia bodaboda mwenzao kwenda Hospitali na kuacha kumsaidia Kijana wa Millard Ayo Zuchy (Noel Mwingira) ambaye walipata ajali pamoja
Bodaboda wanasema 'Kwanza sio bodaboda mwenzetu' halafu wanaleta Propaganda dhidi ya polisi
Daniel Anjorin kijana wa miaka 14 toka London alikuwa Shabiki mkubwa sana wa Arsenal. Wiki hii akiwa huko North London aliuawa kwa kukatwa na Panga. Leo mashabiki na timu yote ya Arsenal wamemuenzi kwa kuweka picha yake Uwanjani na kusimama ilipofika dakika ya 14 ya Mchezo.