Rais Samia alihaidi ametekeleza ujenzi wa makazi kwa wahanga wa Hanang sasa zimefikia asilimia 40.
Mama ni mtekelezaji. #MamayukoKazini
πππππππ ππππ, ππππ ππππ, ππππ ππππ
Washindi wa Tuzo ya America's Got Talent, Ramadhan Brothers wametimiza lengo lao la kufikisha Bendera ya Taifa, picha ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu na tuzo yao kwenye Kilele cha Mlima Kilimanjaro.
#MamaYukoKazini
Mama anawezesha mabinti kuzifikia ndoto zao.
Kati ya wanafunzi hao wapo madaktari, wahandisi, wanasheria na viongozi wa kesho.
#MamaYukoKazini
ππππ ππ ππππ ππ ππ πππππππ πππ πππ
π§ Maji safi ni Kijiji kwa Kijiji.
Julai hadi Desemba 2023 Serikali imekamilisha miradi ya maji 374 vijijini.
Miradi mingine 1,172 inaendelea kutekelezwa katika vijiji mbalimbali.
#MamaYukoKazini
Serikali inakamilisha ujenzi wa mradi wa Maji wa Wami awamu ya tatu.
Kupitia mradi huo maji yatazalishwa kutoka lita milioni 7 hadi lita milioni 21, mabomba yatatandazwa KM 124 na matenki 18 na kutakuwa na vituo vya maji maeneo ya Miono, Msoga na Mboga.
#MamaYukoKazini
Good news π
Mama aliahidi Ujenzi wa Nyumba za waathirika wa Maporomoko ya Toke Hanang na sasa Ujenzi umefikia 40%
#MamaYukoKazini
ππ
ππ ππ πππππ ππ ππππ
#MamaYukoKazini
Mama ametekeleza mengi zaidi
Amelinda Uhuru wa vyombo vya habari.
Anazungumza na wapinzani.
Amefuta kesi za kisiasa.
Amefungulia wafungwa wa kisiasa.
Wapinzania wanafanya mikutano ya kisiasa na kuandamana hadi kugombana.
Mama ni mtekelezaji na Dunia inajua. #MamaYukoKazini
#MiakaMitatuYaMama amehakikisha wakulima wanawezeshwa ili kuongeza uzalishaji wa chakula na malighafi za viwandani.
#MamaYukoKazini
Serikali inakamilisha ujenzi wa mradi wa Maji wa Wami awamu ya tatu. vituo vya maji maeneo ya Miono, Msoga na Mboga.
#MamaYukoKazini
ANATATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI
Katika mwaka wa fedha wa 2022/23, Serikali ilitenga Bilioni 55.57 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu 809 zenye uwezo wa kuchukuwa kaya 1,916.
Ujenzi wa nyumba hizo umeboresha makazi ya walimu na kuongeza morali ya kazi.
#MamaYukoKazini
πππππ ππππ πππ ππππ ππ ππππππππππ πππ ππππ.
#MamaYukoKazini
Serikali yenye dhamira ya kutoa elimu kwa kila mtoto, inaondoa vikwazo kwenye sekta hiyo.
#MamaYukoKazini
Serikali yaendeleza ushirikiano na IDA
Kupitia mkutano wa shirika la maendeleo la kimataifa (IDA), Rais wa JMT alitangaza miradi ya kimkakati 25 ambayo shirika hilo linatekeleza kwenye sekta za uchukuzi, maji, elimu, nishati na marekebisho ya mifumo ya kodi #MamaYukoKazini
β
Mazingira bora ya biashara kwa wajasiriamali.
β
Ongezeko la mapato ya halmashauri.
β
Huduma bora karibu na wananchi.
#MamaYukoKazini