Serikali yenye dhamira ya kutoa elimu kwa kila mtoto, inaondoa vikwazo kwenye sekta hiyo.
#MamaYukoKazini
#mamayukokazini anahakikisha kila mtoto anapata haki ya elimu katika mazingira bora
#mamaanafanikisha
Kuna umri ukifika, usipoziba masikio na kukaza moyo kukabiliana na sauti za utaoa lini, utaolewa lini, mtoto lini? Mjukuu anakuja lini? Utajikuta umefanya maamuzi mabovu na siku unafikia kujuta, waliokupayukia hawapo #ChrisMauki