Kocha Mgunda kuhusu mchezo wa jana na maandalizi ya michezo iliyo mbele yetu. #WenyeNchi #NguvuMoja
βKocha aliyepita (Benchikha) alisema wachezaji hawafundishiki lakini kocha Mgunda amekuja amewaamini wachezaji wengine ambao ni vijana na wanafanya vizuriβ____ Shabiki wa Simba Sc.
#kitengeSports