Yanga wapo tayari kumpa Dickson Job fedha ya usajili 500mtsh ila ugumu unakuja kwenye mshahara wa mchezaji huyo. Job ameshikilia msimamo wake kwamba anataka mshahara wa milioni 15 wakati Yanga wao hawako tayari kumpa hiyo milioni 15.
Yanga SC ๐น๐ฟ has sent a two-year contract offer to the manager of Kibu Denis๐น๐ฟ named Carlos Sylivester, an offer with a salary of 15 million shs per month and Signing fees of 350 million shs on the terms of paying 200 million shs in the first phase and 150 million shs
๐จFikiria hii,muachie Kibu aende zake huko anapotaka kwenda,chukua mzigo halafu msajili Mzize,muwekee mara mbili ya anacholipwa Yanga,mshawishi kwa kumwambia hapo Simba atakuwa ndio mchezaji tegemeo,halafu mpe uhuru wa nani anamtaka asajiliwe nae,ni akili tu mtu wangu,ni akili tu