Maisha anayopitua #Jonas_Mkude yangasc ndio vitu ambavyo vinawashawishi wachezaji wengi wa timu kubwa Tz kuitaka yangasc.
Jamaa alionekana Hana nizamu ufikapo mwishoni mwa msimu lakini jamaa hajawai hata kuchelewa Mazoezini Toka afike yanga.
#NBCPL : Hili hapa tukio lililopelekea kadi nyekundu kwa Lameck Lawi
Yanga SC 1-0 Coastal Union
Iko LIVE #AzamSports1HD
#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #YangaSC VsCoastalUnion #YangaSC #CoastalUnion
Baada ya Kumpiga Mtani na Kutoka na Alama Tatu Muhimu, Wazee wa Klabu ya Yanga SC Wameamua Kujipongeza Kwa Ushindi Huo na Kula Pilau ya Pamoja.
✍️ By MeaMswahili
Instagram, X, Tiktok: : @afmradiotz
Facebook : @kuwatofauti
YouTube: : Adigital Tz
Listen live on TuneIn.
Taarifa ya Kikosi kinachosafiri kesho kuelekea Kigoma kwenye mchezo wa #NBCPremierLeague dhidi ya Mashujaa FC inapatikana Yanga SC App📲
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
🚨 KANASA 🦍💪
#NextMatch
Mashujaa fc 🆚 Yanga Sc
🏆 #NBCPremierLeague
🕒 Saa 10 Jioni
🗓️ 05.05.2024
🏟️ Lake Tanganyika
Usi-left group, Shujaa hasaliti chama
Nb: PICHA HAINA UHUSIANO WOWOTE NA MCHEZO WA TAREHE 05.05.2024
DAAAAH ILA HUYU MWAMBA GEOFF LEA🙌
Mchambuzi wa Soka Triumphtzy anaonekana kuwa na Mashaka kwanini Kiungo wa Yanga Sc Pacome ZouZoua hachezi hadi leo wakati taarifa alizonazo ni kwamba professor Pacome yupo sawa na yupo tayari kucheza! Sasa anachojiuliza je ni kwanini Yanga…
Kwahiyo wazee zile mada za yanga sc kufungiwa na FIFA Kisa hawajakamilisha usajili wa pacome zimeishaje wakuu?😃
Au Tuanzishe mada mpya kwa kambole!🤣
#Bm_Mwakalobo ✍️🇹🇿
KAMWE NA MECHI YA WATANI: Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ametaja sababu zilizowasukuma kuwapa wazee mechi ya NBC Premier League dhidi ya watani wao Simba SC iliyopigwa Aprili 20, 2024.
(Imeandikwa na Ally Bakari )
#YangaSC #YangaNaWazee