Klabu ya Dar Young Africans imetangaza kumsajili kiungo wa zamani wa Azam FC, Mudathir Yahya ambaye pia alikuwa akihusishwa kujiunga na Simba SC.
#PlusXtraUpdates
Yanga na Kagera Sugar wagawana pointi baada ya kusuluhu katika uwanja wa Kaitaba.
FT: Yanga 0⃣ - 0⃣ Kagera Sugar
#PlusXtraUpdates
Timu ya taifa ya Congo yatinga nusu fainali kwa kishindo:
FT: DR Congo 3⃣ - 1⃣ Guinea
#PlusXtraUpdates
Yanga yapata ushindi wa goli moja dakika za mwisho dhidi ya Dodoma Jiji, Chamazi Complex
FT: YANGA 1⃣ - 0⃣ DODOMA JIJI
#PlusXtraUpdates
Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa klabu ya Aston Villa, Bertrand Traore (28) raia wa Burkina Faso amevunja mkataba na waajiri wake hao na kutimkia Uhispania kwenye klabu ya Villarreal akiwa kama mchezaji huru.
#PlusXtraUpdates
Klabu ya Yanga imefungiwa kufanya usajili na Shirikisho la Soka duniani FIFA mpaka pale itakapomlipa stahiki zake kinda la zamani la Newcastle United, Gael Bigirimana ambaye waliachana nae baada ya kushindwa kuonyesha makali.
#PlusXtraUpdates
nao kazi mwishoni mwa msimu huu.
Kinda huyo ameigomea ofa ya muda mrefu kutoka kwenye klabu ya Barcelona nchini Uhispania na kuamka kutimkia Uingereza.
Je, amefanya maamuzi sahihi?
#PlusXtraUpdates
tasnia ya filamu, mwanariadha mahiri, muigizaji na mtu mwema sana kuwahi kumfahamu”
“Tusingeweza kukamilisha filamu ya 'Predator' bila ya umahiri wake na muda mzuri wakati wote wa kazi ya utengenezaji wa filamu hio” amesema Arnold Schwarzenegger
R.I.P Legend🕊
#PlusXtraUpdates