UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profileg
UVCCM TZ

@uvccm_tz

Official account for the Youth League Arm of Tanzania's Rulling Party - CCM (The Revolutionary Party). Established: February 1, 1978. Enquiries: [email protected]

ID:719970161382580225

linkhttps://ccm.or.tz calendar_today12-04-2016 19:27:17

8,6K Tweets

39,4K Followers

38 Following

UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu imefanikisha ujenzi wa Shule ya Msingi Neema iliyopo Wilaya ya Siha ikiwa na madarasa 7, ofisi za walimu 4 na matundu 12 ya vyoo.

Hapo awali wanafunzi walitembea umbali wa kilomita 10 kwenda na kurudi shule.

Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Uongozi wa Rais @SuluhuSamia imefanikisha ujenzi wa Shule ya Msingi Neema iliyopo Wilaya ya Siha ikiwa na madarasa 7, ofisi za walimu 4 na matundu 12 ya vyoo. Hapo awali wanafunzi walitembea umbali wa kilomita 10 kwenda na kurudi shule.
account_circle
Chama Cha Mapinduzi(@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

BALOZI DKT. NCHIMBI KUENDELEA KUUNGURUMA KATIKA MIKOA MITANO (5) KUANZIA SINGIDA NA MINNE (4) NI KANDA YA KASKAZINI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajia kuongoza ziara ya mikoa 5 ikiwa mmoja wa kanda ya kati na minne katika kanda ya

BALOZI DKT. NCHIMBI KUENDELEA KUUNGURUMA KATIKA MIKOA MITANO (5) KUANZIA SINGIDA NA MINNE (4) NI KANDA YA KASKAZINI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajia kuongoza ziara ya mikoa 5 ikiwa mmoja wa kanda ya kati na minne katika kanda ya
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

🛑 BILIONI 97.178 KUTUMIKA UJENZI BARABARA YA IFAKARA-MBINGU*
Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu imetenga kiasi Cha shilingi Bilioni 97.178 kwa ajili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5

🛑 BILIONI 97.178 KUTUMIKA UJENZI BARABARA YA IFAKARA-MBINGU* Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Uongozi wa Rais @SuluhuSamia imetenga kiasi Cha shilingi Bilioni 97.178 kwa ajili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Uongozi wa Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imepunguza faini kwa bodaboda kutoka shilingi 30,000 kwa kosa Moja hadi shilingi 10,000.




Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Uongozi wa Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imepunguza faini kwa bodaboda kutoka shilingi 30,000 kwa kosa Moja hadi shilingi 10,000. #KulindaNaKujengaUjamaa #SisiNaMamaMleziWaWana #TunaendeleaNaMama #Kaziiendelee
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Vijana wa Makundi mbalimbali, Vyama vya Siasa, na Asasi za Kiraia kukusanyika Dodoma katika mdahalo wa Kitaifa Ulioandaliwa na Mbunge wa Vitu Maalum Mhe Nusrat Hanje kuhusu Miaka 3 ya Uongozi wa Rais Mhe Dkt Samia Suluhu kuhusiana na Utekelezaji wa Ajenda za Vijana.

account_circle
Samia Suluhu(@SuluhuSamia) 's Twitter Profile Photo

On behalf of the Government and People of the United Republic of Tanzania, I wish to convey our deepest condolences to the Government and People of the Islamic Republic of Iran for the tragic death of His Excellency Ebrahim Raisi, President of the Islamic Republic of Iran. We

On behalf of the Government and People of the United Republic of Tanzania, I wish to convey our deepest condolences to the Government and People of the Islamic Republic of Iran for the tragic death of His Excellency Ebrahim Raisi, President of the Islamic Republic of Iran. We
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Hongera Sana Ndg. Susan Peter KUNAMBI kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Jeshi la Mama.

Hongera Sana Ndg. Susan Peter KUNAMBI kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Jeshi la Mama.
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kuketi Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar, Mei 19, mwaka 2024.

Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kuketi Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar, Mei 19, mwaka 2024.
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri anaeshughulikia Masuala ya Maendeleo ya Kimataifa wa Ufaransa Mhe. Chrysoula Zacharopoulou walipokutana Jijini Paris Ufaransa tarehe 13 Mei, 2024.

Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri anaeshughulikia Masuala ya Maendeleo ya Kimataifa wa Ufaransa Mhe. Chrysoula Zacharopoulou walipokutana Jijini Paris Ufaransa tarehe 13 Mei, 2024.
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa China Railway Construction Corporation (CRCC) Ndugu Dai Hegen mara baada ya kumaliza mazungumzo, Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 11 Mei, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa China Railway Construction Corporation (CRCC) Ndugu Dai Hegen mara baada ya kumaliza mazungumzo, Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 11 Mei, 2024.
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa China Railway (CRCC) na (CCECC) na Balozi wa China nchini Tanzania Ndugu Chen Mingjian mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 11 Mei, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa China Railway (CRCC) na (CCECC) na Balozi wa China nchini Tanzania Ndugu Chen Mingjian mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 11 Mei, 2024.
account_circle
UVCCM TZ(@uvccm_tz) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu akisalimiana na Balozi wa China nchini Tanzania Ndugu Chen Mingjian kabla ya kuanza kwa mazungumzo yaliowahusisha Viongozi wa China Railway Construction Corporation (CRCC) na China Civili Engineering Construction (CCECC) Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 11 Mei, 2024

Rais @SuluhuSamia akisalimiana na Balozi wa China nchini Tanzania Ndugu Chen Mingjian kabla ya kuanza kwa mazungumzo yaliowahusisha Viongozi wa China Railway Construction Corporation (CRCC) na China Civili Engineering Construction (CCECC) Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 11 Mei, 2024
account_circle