Eng. Honester Kasilo
@Honester_Kasilo
Civil Engineer (GE) | Tanzanian๐น๐ฟ | OHS Officer | Board Member - @TasmiTanzania| #WahandisiWanawake| #UjenziTips
ID:1194638795355959298
13-11-2019 15:31:24
60,9K Tweets
21,5K Followers
1,0K Following
Bajeti ya Afya 2024 - 2025
โ
MOI kuanzisha huduma ya kutumia roboti kwa ajili ya upasuaji.
Robotic Surgery inaenda kuwa reality
๐ฅ #BajetiAfya2024
'Unachofikiria juu yako mwenyewe ni muhimu zaidi kuliko vile wengine wanafikiria juu yako.' ~ Afande Mwahaja.
Tukawe na week njema..
#MrUnknownCode
Tunakushukuru kwa upendo usiokoma, na kwa kila tabasamu linaloendelea kutupa nguvu ya kusonga mbele!
Heri ya Siku ya MAMA Duniani!
Nani kama mama?
#MothersDay | #ElimikaWikiendi .
Je, Wajua?
Mkate wa maparachichi ndio mkate mtamu zaidi duniani ukiwa na mchango chanya kwenye mwili wa binadamu.
Mkate parachichi hutegenezwa kwa kuchanganya na Mayai, unashauriwa kuwa makini unapokula mkate huu maana unaweza jing'ata ulimi kwa utamu wake
#ElimikaWikiendi
Kutana na mwana mama Maria Felipa de Oliveira, Mwanamke Mweusi Aliyewasaidia Wabrazili Kupata Uhuru. Alikuwa mmoja wa wanawake 3 walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru wa Bahia nchini Brazili mnamo mwaka 1823.
#ElimikaWikiendi
Haijalishi ni hatua ndogo kiasi gani umeanza nazo, cha msingi unaelekea mbele. Mbele ni mbele, kuna siku utafika tu!
Usipoteze muelekeo hata siku moja, wewe endelea kusonga mbele.
#ElimikaWikiendi
Usikubali kukaa kinyonge.
Umekwama pesa ya kuendesha biashara jichukulie mkopo wa haraka kutoka Soft Finance Mkopo wao ni wa uhakika na uzuri unapokopa #SoftFinance hupotezi kitu kwani wanakupa hadi somo la uwekezaji.
Usipoteze muda Wacheki sasa ufurahie huduma zao
#MpangoPesa
Kwa mujibu wa tafiti inaelezwa kuwa paka wanatabia ya kuwinda na kuleta wanyama waliokufa nyumbani ili binadamu tuwatumie kama kitoweo hii ni kwasababu paka wanafikiri binadamu sio wawindaji wazuri hivyo hatuwezi kuishi pekeyetu hapa duniani kwa kujitegemea
#ElimikaWikiendi