Rashid Abdalla
@RashidAbdalla
TV Presenter |Translator| Motivational Speaker| Station Voice| Journalist| #SisemiKitu Subscribe to my YouTube Channel- https://t.co/SjByWPsqc7
ID:317100699
14-06-2011 12:51:31
19,2K Tweets
56,6K Followers
1,6K Following
Follow People
Makanisa: 'Rais, usisalie kimya'
Makanisa yamtaka rais kukatiza kimya chake
Wanamtaka kuingilia kati na kutoa suluhu ya mgomo
Mgomo wa wahudumu wa afya umeingia siku ya 24
Viongozi wanahofia maafa kufuatia mgomo wa madaktari
#NipasheWikendi Lulu Hassan Rashid Abdalla
George Natembeya β Gavana, Trans Nzoia: Ukitaka kusaidiwa na jamii na wewe ndio kiongozi kule mbele, inamaanisha haujui kiwango cha ushawishi ulionao ama hauna ushawishi wowote #SemaNaCitizen #Maskani Rashid Abdalla
George Natembeya β Gavana, Trans Nzoia: Ninaongea lugha ya yule mwananchi ambaye hana sauti kwa sababu ilitakikana kusemwa na viongozi walio juu #SemaNaCitizen #Maskani Rashid Abdalla
Citizen TV Kenya Rashid Abdalla I'm from Trans Nzoia county and i trust in his leadership.
Empowerment defines the administration of his excellency Governor George Natembeya.
Citizen TV Kenya Rashid Abdalla Huyu ndie kiongozi wangu....his message is clear and he is speaking what we feel those already elected right from an MCA, MP, Women Rep,Senator, Governor, and the top national leadership is not doing....they have mutated leadership into a coning scheme to further on corruption.
Citizen TV Kenya Rashid Abdalla That guy is very smart,, He understands the whole system on how do deal with security menace especially cattle rustling.We shd put politics aside and collectively fight this vice.#Natembeya#Tawe
George Natembeya β Gavana, Trans Nzoia: Kuna dhana ya kwamba ukiwa na kiti cha urais, kuna mambo yanakuja kwako kwa wingi na wengine wanafinyika #SemaNaCitizen #Maskani Rashid Abdalla
George Natembeya β Gavana, Trans Nzoia: Kila kitu ambacho unafanya Kenya kinatafsiriwa kuwa katika msingi wa kisiasa, hata jambo lisilo na hatia kama kukataa ukabila na upendeleo katika uteuzi #SemaNaCitizen #Maskani Rashid Abdalla
George Natembeya β Gavana, Trans Nzoia: Sina tatizo binafsi na Spika wa Bunge ilhali ni mtazamo wetu kuhusu mipango ya jamii ya Waluhya. Spika amepewa nafasi ya karibu miaka thelathini lakini bado jamii ya Waluhya imegawanyika #SemaNaCitizen #Maskani Rashid Abdalla
George Natembeya β Gavana, Trans Nzoia: Maana ya TAWE ni kukataa. Tunakataa siasa ya kuabudu mtu. Ile mchakato tumeweka sasa hivi ni wa kuhamasisha wanaanchi #SemaNaCitizen #Maskani Rashid Abdalla
Mgomo hospitali za umma:
Maafisa kliniki nchini wameanza mgomo wao hii leo.
Mgomo wa madaktari umeendelea kwa siku ya 19 leo.
Wagonjwa wachache wameonekana baadhi ya hospitali
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Muhogo wa sumu Nyamira:
Mtoto mmoja amefariki baada ya kula muhogo eneo hili.
Jamaa wengine 5 wa familia moja wamelazwa hospitali.
Mama na wanawe 5 walisemekana kula muhogo Jumamosi
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Mwanafunzi azikwa Makueni:
Michael Muteti alifariki kwenye ajali ya barabarani.
Alikuwa kati ya wanafunzi wa ku waliofariki Maungu
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Mashindano ya kwaya:
Yameandaliwa kwa kuadhimisha sherehe za Pasaka.
Yamejumuisha ushindani wa makundi 36 Luanda.
Kwaya la kanisa la St John's ACK Emanaka lashinda
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Hofu ya mazao Trans- Nzoia:
Viongozi wana wasiwasi kuhusu kiwango cha mazao.
Mbolea ghushi zimeendelea kulaumiwa kwa hatari.
Wanasema msimu wa upanzi unakaribia kuisha sasa
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Hofu ya mbolea ghushi:
Hisia zimeendelea kutolewa kuhusu uwepo wake.
Wito watolewa kwa waziri Mithika Linturi kujiuzulu.
Serikali yatakiwa kukaza kamba kuzuia kusambaa kwake
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Al Shabaab Wauwa 6 Dobley:
Watu 6 raia wa Kenya wauwawa mjini Dobley Somalia
Magaidi wa Al Shabaab wanadaiwa kuwamiminia risasi
Watu hao walivuka mpaka kufungua maduka yao
Wanne wafariki papo hapo huku 2 wakifa hospitalini
#NipasheWikendi Rashid Abdalla