Dorothy Semu(@SemuDorothy) 's Twitter Profileg
Dorothy Semu

@SemuDorothy

Party Leader, 2024- @ACTWazalendo Vice Chairperson-Mainland 2020-2024
Shadow Prime Minister 2022- 2024@ACTBarazaKivuli
Believer of a Prosperous Tanzania

ID:372748361

linkhttp://www.actwazalendo.or.tz calendar_today13-09-2011 10:35:38

26,8K Tweets

11,8K Followers

3,1K Following

ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

'ACTWazalendo tunaitaka Serikali kuanzisha utaratibu endelevu wa wananchi kunufaika na ardhi ya uwekezaji iliyotwaliwa kwa kupewa sehemu ya umiliki wa mradi (Land for Equity).'

Waziri Kivuli wa Ardhi
Emmanuel L. Mvula

Wasemaji wa Kisekta

'@ACTwazalendo tunaitaka Serikali kuanzisha utaratibu endelevu wa wananchi kunufaika na ardhi ya uwekezaji iliyotwaliwa kwa kupewa sehemu ya umiliki wa mradi (Land for Equity).' Waziri Kivuli wa Ardhi @Immamvula @ACTBarazaKivuli #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
account_circle
Salim Bimani(@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Katika kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama, Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake, Ndg Janeth Rithe akiambatana na viongozi wenzake, wamegawa taulo za kike kwa Wanawake na Wasichana huko Kiwangwa Pwani. Aidha Ndg Janeth ameitaka Serikali kuondosha kodi kwenye taulo za kike.
ACTWazalendo

Katika kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama, Mwenyekiti wa @NgomeyaWanawake, Ndg @JaneRithe akiambatana na viongozi wenzake, wamegawa taulo za kike kwa Wanawake na Wasichana huko Kiwangwa Pwani. Aidha Ndg Janeth ameitaka Serikali kuondosha kodi kwenye taulo za kike. @ACTwazalendo
account_circle
Jacob(@JacobKiasi) 's Twitter Profile Photo

Katika kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama, Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake, Ndg Janeth Rithe akiambatana na viongozi wenzake, wamegawa taulo za kike kwa Wanawake na Wasichana huko Kiwangwa Pwani. Aidha Ndg Janeth ameitaka Serikali kuondosha kodi kwenye taulo za kike.
ACTWazalendo

Katika kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama, Mwenyekiti wa @NgomeyaWanawake, Ndg @JaneRithe akiambatana na viongozi wenzake, wamegawa taulo za kike kwa Wanawake na Wasichana huko Kiwangwa Pwani. Aidha Ndg Janeth ameitaka Serikali kuondosha kodi kwenye taulo za kike. @ACTwazalendo
account_circle
Wasemaji wa Kisekta(@ACTBarazaKivuli) 's Twitter Profile Photo

'ACTWazalendo tunaitaka Serikali kuanzisha utaratibu endelevu wa wananchi kunufaika na ardhi ya uwekezaji iliyotwaliwa kwa kupewa sehemu ya umiliki wa mradi (Land for Equity).'

Waziri Kivuli wa Ardhi
Emmanuel L. Mvula

'@ACTwazalendo tunaitaka Serikali kuanzisha utaratibu endelevu wa wananchi kunufaika na ardhi ya uwekezaji iliyotwaliwa kwa kupewa sehemu ya umiliki wa mradi (Land for Equity).' Waziri Kivuli wa Ardhi @Immamvula #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
account_circle
Nipashe Tanzania(@Nipashetz) 's Twitter Profile Photo

(๐ˆ๐ฆ๐ž๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐–๐ž๐ญ๐ฎ, ๐ƒ๐€๐‘ ๐„๐’ ๐’๐€๐‹๐€๐€๐Œ)
MWENYEKITI wa Chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman, amewataka viongozi na wanachama kuwaelimisha wananchi ili waunge mkono harakati za chama hicho zinazolenga dhamira ya kuleta mabadiliko

(๐ˆ๐ฆ๐ž๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐–๐ž๐ญ๐ฎ, ๐ƒ๐€๐‘ ๐„๐’ ๐’๐€๐‹๐€๐€๐Œ) MWENYEKITI wa Chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman, amewataka viongozi na wanachama kuwaelimisha wananchi ili waunge mkono harakati za chama hicho zinazolenga dhamira ya kuleta mabadiliko
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

'Idadi ya Vijana wanaojitokeza kwenye kushiriki uchaguzi haidhirishi; hii ni kutokana na kukosekana kwa mazingira rafiki ya kisiasa.'

Waziri Kivuli wa Vijana
Ndolezi

ACTWazalendo

account_circle
Friedrich Naumann Foundation Tanzania(@FNF_Tanzania) 's Twitter Profile Photo

The party leader of ACTWazalendo Ms. Dorothy Semu reflects on day one of the ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟDemocracy Forum 2024! 'We had an opportunity to review our political landscape, and emphasised the crucial role of civil society in for a brighter democratic future for Tanzania.'

account_circle
Ngome ya Wanawake(@NgomeyaWanawake) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ“Tanga

'Ili tuwe salama tunahitaji wanawake majasiri waingie katika vyombo vya maamuzi waweze kupambana kwa ajili ya maslahi ya Taifa.'

Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa
Janeth Rithe

account_circle
Othman Hamza(@Mfungwahuru1) 's Twitter Profile Photo

'TAMISEMI hawana mamlaka ya kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa; na Waziri wa OFISI YA RAIS TAMISEMI hana mamlaka kutunga kanuni. Vijana mpambane bunge litunge sheria ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.'

KC Mstaafu wa ACTWazalendo
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe

account_circle
Global Network Television(@Gntv_5) 's Twitter Profile Photo

'Mazingira ya kiuchaguzi sio rafiki ndio maana vijana wengi hawajitokezi kushiriki kwenye uchaguzi.'

'Kwa tume iliyoko, vijana hawaamini kama wakishinda watatangazwa.' - Ndolezi

'Mazingira ya kiuchaguzi sio rafiki ndio maana vijana wengi hawajitokezi kushiriki kwenye uchaguzi.' 'Kwa tume iliyoko, vijana hawaamini kama wakishinda watatangazwa.' - @Ndolezi_Petro
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

'Mazingira ya kiuchaguzi sio rafiki ndio maana vijana wengi hawajitokezi kushiriki kwenye uchaguzi. Kwa tume iliyoko, vijana hawaamini kama wakishinda watatangazwa.'

Waziri Kivuli wa Bunge, Vijana, Kazi na Ajira
Ndolezi

ACTWazalendo

'Mazingira ya kiuchaguzi sio rafiki ndio maana vijana wengi hawajitokezi kushiriki kwenye uchaguzi. Kwa tume iliyoko, vijana hawaamini kama wakishinda watatangazwa.' Waziri Kivuli wa Bunge, Vijana, Kazi na Ajira @Ndolezi_Petro @ACTwazalendo #TaifaLaWote #MaslahiyaWote
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ndolezi 'Katika fursa ambayo vijana tunatakiwa kuitumia kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa, ni ulinzi na usalama wa nchi yetu. Polisi si maadui zetu; hawa ni watu wanaosimamia usalama wetu na mali zetu.'

Kijana wa CCM
Suphian Juma Nkuwi


@Ndolezi_Petro 'Katika fursa ambayo vijana tunatakiwa kuitumia kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa, ni ulinzi na usalama wa nchi yetu. Polisi si maadui zetu; hawa ni watu wanaosimamia usalama wetu na mali zetu.' Kijana wa CCM @SuphianJuma #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #Mdahalo
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Washiriki mbalimbali wakichangia mada kwenye mdahalo unaoendelea hapa kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema Makao Makuu ya ACTWazalendo Magomeni Dar es salaam.


Washiriki mbalimbali wakichangia mada kwenye mdahalo unaoendelea hapa kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema Makao Makuu ya @ACTwazalendo Magomeni Dar es salaam. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #Mdahalo
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

'Ushiriki wangu wa kwanza katika uchaguzi ni kumkomboa kijana mwenzangu kifikra. Ushiriki wangu wa pili ni kumchagua kiongozi bora. Hakuna kususa! Mimi mwanajeshi. Katika hali yoyote, napaswa kutengeneza mazingira ya kushinda.'

Mwenyiti wa ACTWazalendo Tawi la UDSM
Jafari

'Ushiriki wangu wa kwanza katika uchaguzi ni kumkomboa kijana mwenzangu kifikra. Ushiriki wangu wa pili ni kumchagua kiongozi bora. Hakuna kususa! Mimi mwanajeshi. Katika hali yoyote, napaswa kutengeneza mazingira ya kushinda.' Mwenyiti wa @ACTwazalendo Tawi la UDSM Jafari
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

'Mazingira yetu ya kisiasa ni magumu mno. Vijana tusimame kwa sauti moja. Tupambane tupate baraza litakalotuunganisha sote. Baraza letu likisimama, viongozi wetu kutoka kwenye vyama vyetu wanaotaka kututawala, watatuhofia.'

Mwenyekiti wa BAVICHA Ilala
Dedan Chacha Wangwe

'Mazingira yetu ya kisiasa ni magumu mno. Vijana tusimame kwa sauti moja. Tupambane tupate baraza litakalotuunganisha sote. Baraza letu likisimama, viongozi wetu kutoka kwenye vyama vyetu wanaotaka kututawala, watatuhofia.' Mwenyekiti wa BAVICHA Ilala @DedanWangwe #TaifaLaWote
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

UZI

Matukio na Picha za MDAHALO WA VIJANA ULIONDALIWA NA Ngome ya vijana_Official wa ACTWazalendo.

Picha ya kushoto. Kijana wa kutoka UVCCM, Suphian Juma Nkuwi akisalimiana na Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo.

Picha ya kulia
Meya Mstaafu wa Ubungo, Mheshimiwa Boniface Jacob akiwa tayari

UZI Matukio na Picha za MDAHALO WA VIJANA ULIONDALIWA NA @NgomeyaVijana wa @ACTwazalendo. Picha ya kushoto. Kijana wa kutoka UVCCM, @SuphianJuma akisalimiana na Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo. Picha ya kulia Meya Mstaafu wa Ubungo, Mheshimiwa @ExMayorUbungo akiwa tayari
account_circle