TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profileg
TangaYetu

@TangaYetu

A Fondation Botnar initiative that works in partnership with children and youth in Tanga city to improve their health and wellbeing.

ID:1110862388813840385

calendar_today27-03-2019 11:13:27

300 Tweets

742 Followers

235 Following

Fondation Botnar(@FondationBotnar) 's Twitter Profile Photo

🌟 Meet Nikita - A youth for safer cities! She's part of My Safetipin’s Cities for Youth, collecting safety data to develop city tools to shape policies in Rajasthan. πŸŒ†πŸ’‘

In our video, Nikita shares impact of the work. Start Up
youtu.be/65oiLK7exjs

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Elimu ya Kilimo Cha Matango Bahari ambao kwa kilo Moja wanauzwa 180,000/= Sasa yanaendelea katika Mafunzo ya Fursa za Uvuvi zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi.

Fuatilia Mafunzo haya Live kupitia TK FM radio 88.5 Sasa usipitwe na Elimu hii ya Ujasiriamali.

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Wanawake pia hawakuachwa nyuma kwenye Mafunzo haya ya Fursa Zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi Tanga pata nafasi ya kusikiliza live Mafunzo haya kupitia TK FM radio Sasa.

Wanawake pia hawakuachwa nyuma kwenye Mafunzo haya ya Fursa Zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi Tanga pata nafasi ya kusikiliza live Mafunzo haya kupitia TK FM radio Sasa. #tangayetundiohiisasa
account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Hizi ndio Mada ambazo mpaka Sasa zimetolewa kwa Vijana kuhusu Fursa Zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi
1. Aina ya samaki
2. Aina ya Uvuvi
3. Masoko na Biashara ya bidhaa za Uvuvi
4. Kilimo Cha Mwani .
Fuatilia Mafunzo haya Live kupitia TK FM 88.5

Hizi ndio Mada ambazo mpaka Sasa zimetolewa kwa Vijana kuhusu Fursa Zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi 1. Aina ya samaki 2. Aina ya Uvuvi 3. Masoko na Biashara ya bidhaa za Uvuvi 4. Kilimo Cha Mwani . Fuatilia Mafunzo haya Live kupitia TK FM 88.5 #tangaYetu
account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Mafunzo ya Fursa za Uvuvi zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi yanaendelea Sasa katika Ukumbi wa Limestone Hall Jijini Tanga, fuatilia Elimu hii kupitia TK FM 88.5 upate madini haya .

Mafunzo ya Fursa za Uvuvi zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi yanaendelea Sasa katika Ukumbi wa Limestone Hall Jijini Tanga, fuatilia Elimu hii kupitia TK FM 88.5 upate madini haya .
account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Vijana Jijini Tanga wamepata Mafunzo ya Fursa Zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi ikiwemo Elimu ya masoko, mtaji, aina ya mazao ya Uvuvi pamoja na Namna ya kuongeza thamani bidhaa za Uvuvi.

Unaweza kufuatilia Mafunzo haya kupitia TK FM radio 88.5 Sasa.

.

Vijana Jijini Tanga wamepata Mafunzo ya Fursa Zipatikanazo katika Sekta ya Uvuvi ikiwemo Elimu ya masoko, mtaji, aina ya mazao ya Uvuvi pamoja na Namna ya kuongeza thamani bidhaa za Uvuvi. Unaweza kufuatilia Mafunzo haya kupitia TK FM radio 88.5 Sasa. #tangaYetu.
account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

TangaYetu was honored to receive an official visit from the Deputy Minister of Livestock and Fisheries, Honorable Hon. Abdallah Ulega who was recently appointed as the minister of this ministry.

Fondation Botnar ESRF

account_circle
Next Step Foundation(@NextStepFdn) 's Twitter Profile Photo

Happy ! Let's celebrate women around the world driving gender equality through & .

🀝 Join us in creating an economically future for women, youth, and persons with disabilities at πŸ‘‰ bit.ly/3ZhMWs4 to learn more

Happy #InternationalWomensDay! Let's celebrate women around the world driving gender equality through #innovation & #technology. 🀝 Join us in creating an economically #inclusive future for women, youth, and persons with disabilities at πŸ‘‰ bit.ly/3ZhMWs4 to learn more
account_circle
livinglabinitiative(@livinglabiniti) 's Twitter Profile Photo

The living lab initiative project uses a bottom-up strategy to guarantee that the primary data source has the skills needed to use data for better decision-making.
Find out more about Tanga City Observatory: tanga.cityobservatory.or.tz
Fondation Botnar dLab Tanzania TangaYetu

The living lab initiative project uses a bottom-up strategy to guarantee that the primary data source has the skills needed to use data for better decision-making. Find out more about Tanga City Observatory: tanga.cityobservatory.or.tz @FondationBotnar @dLabTz @TangaYetu
account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Aboubakary ni Moja ya Vijana ambao wamenufaika na Mradi wa Data Notation uliopo chini ya Mradi wa unaofadhiliwa na Foundation Botnar.

Hakika

@tangayetu__ @esrf_tz

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Kabla ya kuanza kutembelea miradi, Mh. Abdallah Ulega alikutana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Omary Mgumba na kuelekeza mpango kazi na maendelo ya Miradi ya uvuvi na ufugaji Tanga ikiwemo Miradi inayofadhiliwa na Foundation Botnar ya uvuvi na ufugaji wa Vifaranga.

Kabla ya kuanza kutembelea miradi, Mh. Abdallah Ulega alikutana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Omary Mgumba na kuelekeza mpango kazi na maendelo ya Miradi ya uvuvi na ufugaji Tanga ikiwemo Miradi inayofadhiliwa na Foundation Botnar ya uvuvi na ufugaji wa Vifaranga. #Tangayetu
account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Mapema Jana Mh. Abdallah Ulega Naibu Waziri Mifugo Na Uvuvi alipata nafasi ya kufanya ziara kwenye Miradi mbali mbali Jijini Tanga ikiwemo Miradi ya TangaYetu.
@tangayetu__ @esrf_tz

Mapema Jana Mh. Abdallah Ulega Naibu Waziri Mifugo Na Uvuvi alipata nafasi ya kufanya ziara kwenye Miradi mbali mbali Jijini Tanga ikiwemo Miradi ya TangaYetu. @tangayetu__ @esrf_tz #tangayetundiohiisasa
account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

Changamoto ya ajira ni kubwa sana ndo maana nawapongeza sana Tanga Kwa kuleta miradi ya Elimu ya vitendo kama ufugaji wa Vifaranga vya Kuku na Kilimo itakayosaidia Vijana kujikwamua kiuchumi na kumiliki bishara za kudumu. Mh. Abdallah Ulega Naibu Waziri Mifugo Na Uvuvi.

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

ya Sasa ni tofauti kabisa na Zamani, Ushiriki wa Vijana kwenye miradi ya Ujasiriamali umeongezeka kwa Kasi na matokeo yanaonekana, Vijana wanalima, wanafuga Vifaranga, wanavuna Mwani na kuvua kwa Vifaa vya Kisasa'

Mh. Abdallah Ulega Naibu Waziri Mifugo Na Uvuvi.

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

'Nimefurahi kuona maendelo ya Mradi wa ufugaji wa Vifaranga kwa vitendo hapa Jijini Tanga uliochukua Vijana 50 na kuwapa Elimu kwa miez 6 kupitia ufadhili wa Foundation Botnar hakika

Mh. Abdallah Ulega Naibu Waziri Mifugo Na Uvuvi.

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

'Kilo Moja ya Jongoo Bahari inaenda hadi laki mbili, Kundi hili la kina Mama hapa Mchukuuni wanamiliki zaidi ya Jongoo 900 na kulima mashamba ya Mwani, Sasa tunaanza kuipeleka Tanga katika Uchumi wa Bluu '
Mh. Abdallah Ulega Naibu Waziri Mifugo Na Uvuvi.

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

'Kikundi chetu tupo wanachama 36 kutoka Mchukuuni Tanga, kupitia Foundation Botnar Tuliwezeshwa wavu, mbegu na bomba za chuma. Kwa kushirikiana na MaAfisa uvuvi pia sasa tumetengeneza mashamba ya Mwani na kumiliki majongoo Bahari 900'

Abdallah Mnufaika wa Mradi

account_circle
TangaYetu(@TangaYetu) 's Twitter Profile Photo

'Nimefurahi kuona kikundi hiki Cha Wavuvi wa Mwani na Jongoo Bahari hapa Tanga,kutumia vifaa na mbegu mlizopewa na Foundation Botnar kushirikiana na MaAfisa uvuvi Sasa mnamiliki mashamba makubwa ya Mwani na Jongoo Bahari 900.
Mh. Abdallah Ulega

account_circle