VPO Tanzania
@VPOTanzania
Official Twitter account of the Office of the Vice-President of Tanzania | Ukurasa wa Twitter wa Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania na Wizara zake
ID:787295527318777856
http://www.vpo.go.tz 15-10-2016 14:14:15
140 Tweets
32,4K Followers
16 Following
Maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Ujenzi umefikia asilimia 82. #HapaKaziTu
Je wajua kwa wilaya ya kisarawe kila siku zinatoka Fuso 10 zikiwa na gunia 80 kuja mjini Daressalaam kwa matumizi ya majumbani, wilaya moja inatoa gunia 800-1000 kwa siku hizi ni takribani heka 4 zinapotea kwa siku moja #ChukuaHatua
“Vijana wanaotafuta kazi, wanaohitaji #Fursa wafike mnazi mmoja. Kuna #Fursa za ajira hapa. Tutakuwa na banda maalum la semina kwa vijana wajasiriamali mafunzo ya namna ya kutengeneza mkaa mbadala, namna ya kutafuta masoko pamoja na mikopo vitatolewa”January Makamba #NitunzeNikutunze
'Bei za gesi zinashuka kwa kasi, kikwazo ni kiwango unachonunua, zamani vocha ya chini ilikuwa 10,000 lakini siku hizi kuna mpaka 200. Hii imepanua soko. Tunafanya hivi kwa gesi badala ya kununua mtungi mzima, basi utaweza kununua kwa ujazo wa mita' January Makamba #NitunzeNikutunze
Pamoja na jitihada za Serikali kusambaza na kuhamasisha kuhusu madhara ya ukataji misitu lakini 90% ya watanzania wanatumia nishati ya mkaa na kuni, huku mkoa wa Dar es salaam peke yake ukitumia 70% ya mkaa wote Tanzania - Waziri January Makamba #NitunzeNikutunze
Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere aliwahi kusema haya, 'Tujiulize mimi na wewe tumefanya jitihada zipi hadi sasa kuyalinda na kuyahifadhi mazingira kwa manufaa ya kizazi kijacho'.
#NitunzeNikutunze
Ndugu zangu - nawaomba tutumie wiki hii kuchukua hatua kuhifadhi mazingira. Tupaze sauti. Tuwe askari wa zamu kuripoti na kuzuia waharibifu. Kila mtaa na kijiji una[paswa kuwa na] Kamati ya Mazingira. Jiunge au Anzisha Kamati ya Mazingira mtaani/kijijini kwako. #NitunzeNikutunze