#GWIJI๐ด
@athanas_pius
JOKER || @ManUtd ๐ฌ๐ง |@SimbaSc ๐น๐ฟ |No flex zone| Telecom Engineer ๐ก|โข | We live everyday & We die once @gwijiStepstz. CEO @AfroJuiceBar. ONLY VIBES๐!
ID:2912606343
https://t.me/Gwijisteps 09-12-2014 12:31:25
199,9K Tweets
230,9K Followers
10,2K Following
Follow People
Nimesikiliza kauli za Tundu Antiphas Lissu ni very unethical vyama vya upinzani tuna wajibu wa kuisimamia na kuikosoa serikali lakini haiwezi kua kwa misingi ya Utanganyika na Uzanzibari au dini wala kabila Utaifa wetu ni muhimu kuliko kitu chochote kiลe tukosoane Iลa tusibaguane.
Location ya kiwese kizuri na Cha mtelezo Leo ni hapa Kinondoni Road ( kabla ya junction ya kwenda salenda) karibu na Stanbic bank #EngenKinondoni
#GWIJI๐ด Hio inatokeaga unamtambilisha mtu chimbo la kitimoto halafu anakuwa member kuliko wewe. Inakuwa unajitambulisha kupitia yeye ndio usipunjwe.