Mwigulu Nchemba, PhD
@mwigulunchemba1
Economist, MP, Minister for Finance, Tanzania @mofurt | Proud father | Shaping policies for a prosperous future #Economics #Leadership
ID:1872561842
http://mof.go.tz 16-09-2013 18:14:06
4,1K Tweets
534,0K Followers
358 Following
Follow People
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia anayesimamia Kundi la Kwanza la nchi za Kanda ya Afrika (Africa Group 1 Constituency), Dkt. Floribert Ngaruko, wakati wa mikutano ya Majira ya Kipupwe…
Thank you, Farshid Hakimyar . We had a productive investment meeting with valuable insights, focused on bolstering Tanzania’s economy.
Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuidhinishia Tanzania miradi 14 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani bilioni 3.87, kupitia mpango wa Benki hiyo wa utoaji mikopo na misaada (IDA-20), zilizoelekezwa katika miradi…
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Shirika la Maendeleo la Marekani (@USAID ) ukiongozwa na Msaidizi wa Utawala anayesimamia Afrika, Dkt. Monde Muyangwa , ambapo walijadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano…
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb) na Waziri wa Fedha, Bajeti na Mipango ya Uchumi wa Burundi, Mhe. Audace Niyonzima, wamekutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania jijini Washington D.C, nchini Marekani, kando ya mikutano ya Majira ya Kipupwe…
Le Ministre Ministère des Finances Burundi en compagnie de l’ #Ambassade urduBurundiàWashington , a rencontré, au bureau de l’ #Ambassade de la République Unie de Tanzanie à Washington, le Ministre Ministry of Finance Tanzania. L’état d’avancement du projet de chemin de fer était l’objectif de la réunion.
.Alice Albright: Gostei de reconectar-me com o Ministro Nchemba Mwigulu Nchemba, PhD para discutir o desenvolvimento contínuo do Programa Limiar Millennium Challenge na Tanzânia. Ansiosos por progresso e colaboração contínuos! x.com/MCC_CEO/status…