Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Iran imeitaarifu Iraq,Qatal,Saudi Arabia na UAE,endapo vita vitaanza na Israel US ikiingilia, Kambi zote za US zilizopo kwenye nchi zao zitakuwa target ya makombora ya Iran.

Iran imeitaarifu Iraq,Qatal,Saudi Arabia na UAE,endapo vita vitaanza na Israel US ikiingilia, Kambi zote za US zilizopo kwenye nchi zao zitakuwa target ya makombora ya Iran.
#Behindthescene
#BilaGanzi
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Russian Force ndani ya Niger. Baada ya wanajeshi wa US na France kutimuliwa Kiongozi wa Niger ameingia kandarasi na vikosi vya Urusi.

Russian Force ndani ya Niger. Baada ya wanajeshi wa US na France kutimuliwa Kiongozi wa Niger ameingia kandarasi na vikosi vya Urusi.
#Behindthescene
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Taifa teule wakizichapa wenyew kwa wenyewe.Kwenye maandamano ya kumtoa madarakani first born wao Netanyahu🤣🤣🤣.

Taifa teule wakizichapa wenyew kwa wenyewe.Kwenye maandamano ya kumtoa madarakani first born wao Netanyahu🤣🤣🤣.
#Behindthescene
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Drone ndani ya Kiev baadae utaambiwa zote zimetunguliwa hakuna kitu,mficha maradhi kifo humuumbua.Zelensky laza mshale chini Putin atakutoa damu za pua.

account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Mpaka sasa hali inavyoendelea Iran kuishambulia Israel ni swala la muda tu lakini ni lazima.Nilitaka kushangaa mashariki ya kati pakae miaka kumi bila kivumbi.

Mpaka sasa hali inavyoendelea Iran kuishambulia Israel ni swala la muda tu lakini ni lazima.Nilitaka kushangaa mashariki ya kati pakae miaka kumi bila kivumbi.
#Behindthescene 
#BilaGanzi
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un anasema hiki nikipindi cha kujiandaa na kuwa tayari kwa vita kuliko kipindi chochote. Vip Kim yupo sahihi au anaitisha dunia tu?

Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un anasema hiki nikipindi cha kujiandaa  na kuwa tayari kwa vita kuliko kipindi chochote. Vip Kim yupo sahihi au anaitisha dunia tu?
#Behindthescene
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Chanzo kikubwa cha Umeme cha mji Kiev kimeteketea kabisa baada ya kushambuliwa kwa makombora na Urusi.Wacha mvua iendelee kunyesha.

Chanzo kikubwa cha Umeme cha mji Kiev kimeteketea kabisa baada ya kushambuliwa kwa makombora na Urusi.Wacha mvua iendelee kunyesha.
#Behindthescene
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Iran na Israel mambo yamekaa kama pana weza kuwaka muda wowote vile.Kwa hali ilivyo kosa dogo sana linaweza sababisha Vita vikaanza

Iran na Israel mambo yamekaa kama pana weza kuwaka muda wowote vile.Kwa hali ilivyo kosa dogo sana linaweza sababisha Vita vikaanza
#BilaGanzi 
#Behindthescene
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Nchi za kiarabu zimemtaarifu US hazipo tayari kuruhusu mashambulizi ya Iran yatakayo fanywa na US kutokea kwenye ardhi au anga la nchi zao.Mmmmh huuu sio mtego kweli?

Nchi za kiarabu zimemtaarifu US hazipo tayari kuruhusu mashambulizi ya Iran yatakayo fanywa na US kutokea kwenye ardhi au anga la nchi zao.Mmmmh huuu sio mtego kweli?
#Behindthescene 
#BilaGanzi
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Uturuki imesema itaiwekea vikwazo Israel mpaka pale itakapo sitisha mapigano huko GAZA,Israel wamejibu na wao watamwambia US na Nchi za Ulaya waiwekee vikwazo Uturuki vitakavyo leta athari kubwa kwenye uchumi wake.Kwanini watamwambia US na Ulaya?

Uturuki imesema itaiwekea vikwazo Israel mpaka pale itakapo sitisha mapigano huko GAZA,Israel wamejibu na wao watamwambia US na Nchi za Ulaya waiwekee vikwazo Uturuki vitakavyo leta athari kubwa kwenye uchumi wake.Kwanini watamwambia US na Ulaya?
#Behindthescene 
#BilaGanzi
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Haiwezi kuwa kweli,Ukraine si wana Patriot air defence na kila kombora la Urusi wanalitungua hili gazeti ni la mchongo.

Haiwezi kuwa kweli,Ukraine si wana Patriot air defence na kila kombora la Urusi wanalitungua hili gazeti ni la mchongo.
#Behindthescene
account_circle