Hongera kwa washindi wetu wa Chemsha Bongo ya wiki iliyopita.
Jibu swali letu ya wiki ijayo ujishindie zawadi mbalimbali kutoka benki ya UBA.
#ubatanzania #ubagroup #chemshabongo
Kati ya Joy na Viviane nani alikuwa na mchongoano kali? #BahariYaElimu #ChemshaBongo
Ali Kauleni Hassan #HapaNdipo
Wavuti: radio47.fm
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Nile Road waonyesha umahiri wao kwenye kitengo cha ushairi kwa lugha ya kikisii. #BahariYaElimu #ChemshaBongo
Ali Kauleni Hassan
#HapaNdipo Wavuti: radio47.fm
Mercy Adhiambo, mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Nile Road aonyesha ubabe wake kwenye kitengo cha sanaa ~Spoken word.
#BahariYaElimu #ChemshaBongo
Ali Kauleni Hassan #HapaNdipo
Wavuti: radio47.fm
#JoshuaMollel : Kifo cha ndugu yetu Joshua kinautata na kuzua maswali mengi sana (Kwa wenye akili ya kuchanganua mambo sio mbayuwayu):
#ChemshaBongo
i) Israel ni moja ya taifa lenye Teknolojia kubwa duniani.
ii) Israel ni moja ya Taifa lenye ulinzi mkubwa duniani.
iii)
Chemsha Bongo.
Nakendile khaale, nekhebulila, senekale kumiliango tawe. Ese nanu?
Nimetembea kitambo, kukumbuka sikufunga mlango. Mimi ni nani?
^DA
#chemshabongo #khushiteru #KBCniYetu
Chemsha Bongo.
Ng’ombe wamechanganyika nikakosa wa kwangu. Mimi ni nani?
^DA
#Chemshabongo #Khushiteru #KBCniYetu
Chemsha Bongo.
Shamba langu kubwa lakini mavuno hayajazi kiganja. Mimi ni nani?
^DA
#chemshabongo #Khushiteru #KBCniYetu
Chemsha Bongo.
Nilipo, juu kuna miiba na chini vivyo hivyo lakini sichomwi. Mimi ni nani?
^DA
#chemshabongo #KBCniYetu #Khushiteru