Naunga mkono hoja ya Lissu.
Kikokotoo ni dhulma kwa wafanyakazi.
Ni wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.
As long waliokiweka wao hawajajuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.
#DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana
Lisu ukimpa sikio lazima akuweke Sawa
Kumbe kuna watu wanakatwa mpaka hela ya sare na ya kuzikwa?
Ila nachofurahi Kikokotooo kinamkuna kila mtu
#Accountability
#DemokrasiaYetu
Sasa Biteko anawapiga biting Viongozi gani wanaoingilia muhimili?
Na muhimili gani unaingiliwa?
Mahakama inakataa haiingiliwi.
Bunge wanasema wao wapo huru.
Serikali inasema haiingilii mhimili wowote?
Mhimili gani unaingiliwa?
#DemokrasiaYetu
#Accountability
Star TV ni media ya mwana CCM lakini inatoa nafasi sana kwa vyama vya upinzani kwa nyakati zote.
#DemokrasiaYetu
Bora hao wanaoshiriki mdahalo kuliko wale waogopao MIDAHALO.
Demokrasia 13:10
#DemokrasiaYetu
Wabunge watapewa semina kuhusu Dira ya Maendeleo ya Taifa....possible na posho ya semina watalipwa.
Mwananchi wa kawaida unatumiwa link tu utoe maoni yako kwa bando lako.
😀😀😀😀😀😀
Any way nisije kuzua TAHARUKI.
Maana #DemokrasiaYetu uhuru wake una mipaka
Yaani Mpina pamoja na yoooooooote aliyofanya akiwa waziri bado haiondoi facts anazohoji Bungeni.
Kwa sababu zama za JPM mawaziri,MA RC na MA DC hata Polisi walizingua sana watu.
Na leo wengine wamepandishwa mavyeo...
#DemokrasiaYetu inakwenda na Biti Boss anapenda nini?
Lakini nyie ACT ndo mlikuwa mnaridhia tangu mwanzo.
Sema kwenye #DemokrasiaYetu wanasiasa mnatuvuruga sana kwa maneno
Bila kusafirisha watu kwenye malori,huwezi Pata nyomi kwenye mikutano ya kisiasa.
Demokrasia 20:25
#DemokrasiaYetu
Yaani Iran 🇮🇷, kwenye katiba yao wewe ukiwa VP usitegemee siku ikatokea eti unaamka unakuwa Rais.
#DemokrasiaYetu
Mambo ya mdahalo unayone kwa wenzio...ila kuna vyama vinaogopa midahalo, havitakagi hata kusikia.
#MchakatoMajimboni mnaikumbuka?
Midahalo inakuza #DemokrasiaYetu .
Mhe.Ruto rai yangu.
Naomba uvichukulie hatua vyombo vya Habari ambavyo vimepotosha kuhusu gharama za safari yako.
Kwa sababu vimezua taharuki si tu Kenya hadi Afrika Mashariki.
Mwisho. Usisikilize maneno ya Wakenya, wewe chapa kazi.
#Accountability
#DemokrasiaYetu
Mpina amebaki peke yake Dodoma.
Anapambania #Accountability , but no one cares what he is preventing.
#DemokrasiaYetu imekuwa ya kusifia
Na anajua hatakuja kuwa Waziri wala Naibu Waziri.
#DemokrasiaYetu happening wasema kweli
Bahati mbaya Katiba ya Tanzania huwezi kuwa mwakilishi wa wananchi bila kuwa na kadi ya Chama.
#DemokrasiaYetu