KAMWE NA MECHI YA WATANI: Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ametaja sababu zilizowasukuma kuwapa wazee mechi ya NBC Premier League dhidi ya watani wao Simba SC iliyopigwa Aprili 20, 2024.
(Imeandikwa na Ally Bakari )
#YangaSC #YangaNaWazee
'Sekta ya habari inamchango mkubwa katika kutufikisha katika Tanzania tunayoitaka ifikapo 2050'. - Fausta Musokwa, IMS in Tanzania.
#WPFD2024
#Dira2050