“Mambo ya watu kuchukuliwa ardhi, kuwekewa kodi zisizo na msingi yalifanywa na wakoloni lakini leo tunaona yanafanywa na Serikali ya CCM, tuwatoe madarakani na kupata #KatibaMpya ” — Abdulkarim Juma #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
TUPATE KATIBA MPYA : “Kwenye madhira kama haya ya mikatabata ya bandari ndio umuhimu wa #KatibaMpya unapokuja” — MjahidOsama #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
TUCHUKUA HATUA KULINDA BANDARI : “Kimsingi suala la bandari tulitakiwa kutoka nchi nzima mara moja lakini kundi kubwa la watu linaendelea na shughuli zao kwa kuwa hawaelewi, tuelimishane ili kupinga udhalimu” — UCHEBE TV 📺 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi bit.ly/3CuHHvp
TUPATE KATIBA MPYA : “Kwenye madhira kama haya ya mikatabata ya bandari ndio umuhimu wa #KatibaMpya unapokuja” — MjahidOsama #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Zanzibar kujisimamia kwenye baadhi ya mambo yake haina maana kuwa Zanzibar ni nchi ndio maana Zanzibar haiwezi kuingia mikataba kitaifa na ndio maana haina kiti katika umoja wa kimataifa” — Peter Madeleka #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
Martin Maranja Masese Bunge la CCM ,Bunge linaloitetea na kuishangilia serekali na CCM #bila kujali wananchi
#KatibaMpya ndio itatupatia bunge bora #KatibaMpya Nisasa
KUNA WABUNGE WANAPOTOSHA : “Kuna mbunge alipotosha umma kwa Ibara 117 ya katiba ya umoja wa falme za kiarabu inasema kuwa dubai ina vigezo vya mikataba ya kimataifa lakini si kweli kwa kuwa Dubai sio nchi” — Peter Madeleka #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
“Kila kukicha Rais anazidi kuthibitisha kuwa CCM ni ileile, uonevu uleule na mipango yao ni ileile, hawabadili, tuwakatae kwa kupata #KatibaMpya ” #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Haki haitakiwi kucheleweshwa” — Mwaura Robert #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : youtube.com/live/RZIZv3ygK…
#ACTWazalendo : Wananchi wahusishwe mchakato wa #KatibaMpya
mwananchi.co.tz/mw/habari/kita…
TUNAWAJIBU KUELIMISHANA : “Tujaribu kuangalia sisi tuna taarifa na uelewa wa sakata la bandari ni wajibu wetu kueleimsha wengine ili waone kuna sabau ya wao kunya kupinga maovu ya sakata la bandari” — UCHEBE TV 📺 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Mambo ya watu kuchukuliwa ardhi, kuwekewa kodi zisizo na msingi yalifanywa na wakoloni lakini leo tunaona yanafanywa na Serikali ya CCM, tuwatoe madarakani na kupata #KatibaMpya ” — Abdulkarim Juma #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Mshikamano hupatikana mwituni, kama taasisi zitashindwa kushughulika basi sisi wananchi mmoja tushikamane ili kupata kupinga mkataba wa bandari kama wananchi na huu ndio utakuwa uzalendo halali” — Tito Magoti #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Hatuwezi kutakatisha maamuzi ambayo tayari yamekosewa, na bado kuna nafasi ya kubadili utaratibu wa mkataba urudi mwanzo ili kuanza mchakato bila kukosea” — Tito Magoti #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Idhini na uhalali wa mambo ya kisiasa hufanyika na wananchi kupitia bungeni, nadhani tunatakiwa kuwa ujuzi huo ili kata kupinga sheria ambazo hazishirikishi wananchi” — Tito Magoti #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Suala hili la bandari lilitakiwa kuletwa kwa wananchi kwa ubora wa mazungumzo ya hali ya juu na kupata muafaka mzuri ambao wananchi wamekubaliana, hivyo ndivyo nchi ya kidemokrasia huendeshwa” — Tito Magoti #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Suala hili la bandari lilitakiwa kuletwa kwa wananchi kwa ubora wa mazungumzo ya hali ya juu na kupata muafaka mzuri ambao wananchi wamekubaliana, hivyo ndivyo nchi ya kidemokrasia huendeshwa” — Tito Magoti #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp
“Tunataka nchi itayoongozwa na katiba bora na si hisia za mtu mmoja hii ni hatari sana” — Abdulkarim Juma #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3CuHHvp