Jumapili ya leo usikose #pichambao nzuri kutoka kwangu kwa ajili ya ukumbusho na zawadi πΈ
A4 size
Tsh 7,000
Chagua picha unazozipenda nitumie whatsapp au dm nikutengenezee leo
πSinza kumekucha
βοΈ 0786445451
Delivery nafanya mikoa yote
Joseph Osmund Mbilinyi (SUGU), Mgombea nafasi ya Mwenyekiti Kanda ya Nyasa βοΈ
Kanda ya Nyasa yenye mikoa mitano (Mbeya, Iringa, Njombe, Rukwa, Songwe) itaendeshwa kama NCHI chini ya maenyekiti JONGWE. Uchaguzi wa kanda utafanyika 29.05.2024 Makambako, Njombe. #NyasaMpya ππΎ
Serikali imerejesha furaha kwa wananchi wa Mwambao wa ziwa nyasa ikiwemo Mikoa ya Mbeya, Njombe na Ruvuma kwa kurejesha safari za Boti ya MV Mbeya II iliyokuwa inafanya safari zake kati ya Kiwira(kyela) mpaka MbambaBay(Nyasa) ikipita vituo 15.
#MamaYukoKazini
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA Baada ya kufikia katika Mikoa 6, sasa tunaendelea na Mkoa wa 7 ambapo ni zamu ya wananchi wa Mkoa wa NJOMBE.
#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan
Katibu wa Ngome ya vijana_Official Taifa Ndug Bussara Jr. ameongoza kikao cha Wajumbe wa sekretarieti na Viongozi wa mikoa ya Unguja kutathimini kongamano la Vijana Znz. Kikao hicho kimehudhiriwa pia na Makamu mwenyekiti Ngome ya Vijna Taifa Ndugu Nassor Marhoun
#SautiyaVijana
#NgomeipoKazini
ZIARA YA SHUKURANI
Kesho Jumamosi, tarehe 18/05/2024, Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Mh. Othman Masoud Othman, atafanya ziara ya ya Kuwashukuru Viongozi na Wanachama wa Mikoa Miwili ya Kichama wa Mkoa wa Kaskazini A na Kaskazini B.
Tukutane katika Ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya Amali,
RADA ZA HALI YA HEWA ZAFIKIA 5
Rada 5 zimefungwa mikoa mbalimbali.
Mbili mpya zitafungwa Kilimanjaro na Dodoma na kufanya zifikie saba.
Usahihi katika utabiri wa hali ya hewa unachangia usalama wa taifa na kurahisisha mipango inayochagiza ustawi wa jamii.
#MamaYukoKazini
ZIARA YA SHUKURANI
Kesho Jumamosi, tarehe 18/05/2024, Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Mh. Othman Masoud Othman, atafanya ziara ya ya Kuwashukuru Viongozi na Wanachama wa Mikoa Miwili ya Kichama wa Mkoa wa Kaskazini A na Kaskazini B.
Tukutane katika Ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya Amali,