Mapambano dhidi ya kisukari na shinikizo la damu yanaanza na WEWE! 💪
Kuna ongezeko la kutisha la magonjwa haya yasiyoambukiza. Mazoezi ndio silaha yako dhidi ya magonjwa haya. Pata walau dakika 30 za kutoka jasho kila siku.
#MtuNiAfya #FanyaKweli #UsibakiNyuma
'Leo ni siku muhimu kwa afya yetu!
Tuungane saa 3 asubuhi kusikiliza bajeti ya Wizara ya Afya.
#MtuNiAfya #BajetiAfya2024
The hard work has paid off. After a hectic but rewarding journey of Project Designing for Mtu Ni Afya campaign, we have now officially launched the campaign!
Kazi imeanza! #MtuNiAfya
Ukiingia mahusiano na daktari…
Take notes 📝
By the way; kesho afya tuna jambo letu #BajetiYaAfya2024 ➡️ #MtuNiAfya
#MtuNiAfya | MOYO ndio injini ya uzima wako,
Linda MOYO ❤️ wako kwa:
1️⃣Kutovuta sigara
2️⃣Kudhibiti uzito
3️⃣Kula mboga za majani, matunda zaidi
4️⃣Kudhibiti kiwango cha chumvi kwenye chakula
5️⃣Kupima presha na kisukari
6️⃣Kufanya mazoezi
7️⃣Kudhibiti Pombe
ELIMU YA AFYA | Kisukari cha Ujauzito #MtuNiAfya
➡️Kisukari cha ujauzito ni aina ya kisukari inayokua wakati wa ujauzito kwa wanawake ambao hawakuwa na kisukari kabla ya kupata mimba.
➡️Hali hii huathiri wanawake wajawazito 2-10%.
➡️Ingawa kawaida hupotea baada ya kujifungua,
Nchi imesimama, na Viongozi wa Serikali pamoja na wananchi wote macho na masikio yetu yameelekea Dodoma ambapo leo Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu anasoma bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2023/2024.
#MtuniAfya
Day 5 My health
Running 🏃 21.42Km per 1hr with 1331 Kcal 9'28 peace(/km)
Kaka James ukinijibu hii Jumamosi nakutumia zawadi I promise 🤣🙌 halafu Juma pili napga zaidi ya leo!
#MtuNiAfya
#FanyaMazoezi
Am done for today 🔥🔥
#MtuNiAfya - ni miaka 50 toka Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere alipoasisi kampeni hii ya Afya na Usafi wa Mazingira! tumeona bado kaulimbiu hii ni relevant ktk muktadha wa leo wa kuelimisha na kuhamasisha Wananchi kuzingatia Kanuni za Afya na Usafi wa Mazingira ili kujikinga na
We’re at the launch of the #MtuNiAfya phase two campaign. This phase aims to enhance WASH services, health promotion and prevention of disease outbreaks in schools, health facilities and hard to reach areas to ensure #NoOneIsLeftBehind 💙
ELIMU MUHIMU SIKU YA FIGO 2024 - Dkt. Norman Jonas #MtuNiAfya
Figo Zetu; Tumaini la maisha yetu;
Chujio la mwili lakini rahisi kudhurika; Likidhurika Maisha sio rahisi;
LINDA FIGO ZAKO;
NJIA ZIPI UTUMIE
Soma chini👇
Figo zako ni kama shujaa anayesaidia kutunza uhai wako.