👉🏽Ndugu zetu wa Fesibukuu na mitandao mingine, wala hatuwakatazi kuchukua Tweets zetu 😅
Ila tunahitaji muachane na tabia ya 'Ku-Crop' bhana 😅
Basi ni kheri uCrop Handle ila nyie mnaCrop mpaka chombo cha habari { #ParachichiFM }
Wanetu wa MAWINGUNI wametisha kinoma noma,…