Kwa udhamanin wa #parachichiFm nakula Burudan taratibu jobless 😂
Dullah_theKing🇹🇿 umetisha sana mzeee ✊
TOP 5 YANGU YA 'RAP SONGS' TOKA JANUARY MPAKA SASA 2024 👇🏽
#ParachichiFM
No. 5
👉🏽JayMoe & CountryWizzy~MoccaSin🎶
Kuna kitu nimeanza kukiamini kutoka kwa ma brother SANUKAnaCHAPO kuhusu zombie
Hivi unajua bila zombie kua na HIT SONGS nyingi mwaka 2023 BONGO wasingeamua kutafuta mdundo wa TAIFA
Sijui nataka kusema nini ila ni kama kuna kitu aliharibu kwenye hizo hit songs zake
#ParachichiFM
BongoFleva yenyewe kabisa hii 🙌🏽
Ina kila sababu ya kupitishwa na idara ya muziki toka #ParachichiFM
BONGE MOJA LA NGOMA 🔥
Hamna haja ya kwenda mbelee... turudi nyuma tu😀
Hii OYA MZEE ya MANENGO ni ngoma kali mnooo🔥🔥🔥
Hiyo intro ya JAIVAH🙌
Ila mpaka saizi sijui nani kaua😀
Dullah_theKing🇹🇿
SANUKAnaCHAPO
#ParachichiFM ofisho dijei
Dhamira yangu imesimama imara. Sogea kwangu nikupe unayostahili kupewa, nitakupa hii Dunia na nitawafukuza wanadam wote tubaki wawili nikumilikishe Kila kitu mpaka #Parachichifm ya Dullah_theKing🇹🇿 nitakupa wewe, Wengine huenda Dubai Vacation mie nitakupeleka Ibiza ukafrahie dunia
JUMANNE ya kesho sisi kama #ParachichiFM tutasapoti BIASHARA za wanetu kama tatu hivi kwa kuzipost....
Maana kununua bado hatujajaaliwa kipato ila Acc za X tunazo 🤝🏽
👉🏽Saa 3 Asubuh
👉🏽Saa 7 Mchana
👉🏽Saa 9 Alasiri
TUWASAPOTI WANETU 🤝🏽🚶🏾♂️
Wameniondoa kwenye group la wamiliki wa vyombo vya HABARI aisee....
Hawa watu wanakichukulia poa chombo changu aisee 😥
#ParachichiFM inaonewa sana
Rapper Pekee anaefanya muziki akiwa TAIFA la kigeni na bado ngoma zake zinafanya vizuri nchini....
Wakati nakumbuka kuna Msanii mmoja hivi wa kuimba aliwahi kuhama toka Morogoro kisa tuu harakati za muziki 🤣
Oyaa MKATO kongole nyingi sana toka #ParachichiFM
Said Adam Wanaoifatilia #ParachichiFM wanaelewa tofauti iliyopo kati ya DULLAH na #ParachichiFM
Kwanini ukishambulie chombo cha HABARI kaka....
#ParachichiFM haihusiki na lolote juu yangu....