#PICHA : Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango ambaye pia ni Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza sherehe hizo za Wafanyakazi…
PICHA YA MWAKA 1948 YA WAASISI YANGA: Mzee Mwinyi Mangala ambaye ni mtoto wa mmoja wa waasisi wa Yanga, Mzee Mtaruke Mangala, ameisimulia picha iliyopigwa mwaka 1948 ikiwaonesha waasisi wa timu hiyo akiwemo Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Aman Karume.