Semaji Ahmed Ally akizungumzia kuondoka kwa Kocha Benchikha na ujio wa Kocha Juma Mgunda kukiongoza kikosi.
Video kamili ingia YouTube - Simba SC Tanzania. #WenyeNchi #NguvuMoja
Simba Sc imecheza mechi 23 na imeruhusu magoli 23 ambapo 7 imefungwa na Yanga pekee
#SwahibaLanguLako
Kocha Abdelhak Benchikha akizungumzia maisha yake ndani ya Simba, sababu ya kuomba kuondoka na neno lake la mwisho kwa Wanasimba.
Video kamili YouTube - Simba SC Tanzania. #WenyeNchi #NguvuMoja
Saleh Karabaka akipigilia msumari wa pili kwenye lango la Mtibwa Sugar. #WenyeNchi #NguvuMoja
#NBCPL βRefa kama Refaβ.
Ni mwamuzi msaidizi Fatma Mambo kutoka Iringa, akiwa makini kazini.
Bila shaka umemuelewa...au siyo???
FT: Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #MtibwaSugar β¦
Mfungaji wa bao la pili, Saleh Karabaka akizungumzia mchezo wa leo. #WenyeNchi #NguvuMoja
Eng. Hersi Said - Kiongozi Yanga Sc
Murtaza Mangungu - Kiongozi Simba Sc
Yusuf Bakhresa - Kiongozi Azam Fc
Ni nani utendaji wake unakukosha unatamani angekuwa kiongozi kwenye timu yako pendwa, tuambie kupitia comment yako hapo chini ππΌ
βπ½ πΏπππ
#WasafiSports
#NBCPL Goli la tano kwa Freddy Koublan kwenye ligi tangu atue Msimbaziβ¦.
HT: Simba SC 1-0 Mtibwa Sugar
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #MtibwaSugar #SimbaMtibwaSugar
#NBCPL Goli kutoka kwa Karabakaβ¦.
FT: Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #MtibwaSugar #SimbaMtibwaSugar