📌Hospitali ya Mkoa Simiyu
Katika mwaka wa fedha 2023/2024 Serikali imetenga kiasi cha Tsh Bilioni 2,000,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la wodi za kulaza wagonjwa na ujenzi huo unatarajiwa kuanza mwezi Juni, 2024.
#MamaYukoKazini anaboresha huduma za afya.
Utekelezaji wa Mradi wa Umeme wa maji wa Rumakali ambao unahusisha ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa MW 222 kwa kutumia maji ya Mto Rumakali mkoani Njombe unaendelea. #MamaYukoKazini
Muonekano wa ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.
#MamaAnafanikisha watumishi wa umma kuishi katika mazingira bora na salama.