Mtandao ulianza na mashirika 10 wanachama yaani TRI, DMI, ROME CENTRE, ACHA, SAHRINGON, TAWOJAC, NDT, CHAKUA, WEEDO, DWI, TCLC. Kufikia mwezi June 2023 tulikuwa na wanachama hai 105.
-Edwim Magambila-
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
Usikae mbali๐๐ฟ
Leo ni siku ya uzinduzi wa mtandao wa kimataifa wa kupinga usafirishaji haramu wa binadamu
Hashtag.
#EndHumanTrafficking #UtuWanguHakiYangu
Kampeni ya sahihi imefanyika mikoa 13 lengo lake kupata sahihi 5000 lakini tumevuka lengo kwa kukusanya sahihi 57,000 za wadau mbalimbali Tanzania bara na visiwani waliokubaliana kupinga biashara ya usafirishaji haramu wa binadamu'
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
TANAHUT ni mtandao wenye mashirika wanachama 105 kutoka mikoa mbalimbali. Yakiwemo NGOs, CBOs,Taasisi za dini,watoa huduma kwa wahanga wa usafirishaji haramu wa Binadamu,Taasisi za elimu ya juu na mashirika ya Habari.~EDWIN MUGAMBILA
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
TANAHUT ni mtandao wenye mashirika wanachama 105 kutoka mikoa mbalimbali. Yakiwemo NGOs CBOs,Taasisi za dini,watoa huduma kwa wahanga wa usafirishaji haramu wa Binadamu,Taasisi za elimu ya juu na mashirika ya Habari'
~Ewdwin Mugambila
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
Usikae mbali๐๐ฟ
Leo ni siku ya uzinduzi wa mtandao wa kimataifa wa kupinga usafirishaji haramu wa binadamu
Hashtag.
#EndHumanTrafficking #UtuWanguHakiYangu
Mtandao kupambana na usafirishaji haramu unatoa pongezi nyingi sana kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kuonesha kwa vitendo kuwa Usafirishaji haramu wa binadamu haukubaliki. #MamaYukoKazini #EndHumanTrafficking #UtuWanguHakiYangu
Shirika la TATLI ambalo ni mwanachama wa TANAHUT limeendelea kutoa elimu ya usafirishaji haramu wa binadamu kwa shule ya Sekondari Karibuni iliyoko wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Watoto zaidi ya 1500 wamefikiwa na elimu hii.
#UtuWanguHakiYangu
Mtandao wa TANAHUT ni mtandao wenye mashirika wanachama 105 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Mashirika haya in Pamoja na NGOs, CBOs, Taasis za dini, watoa huduma kwa wahanga wa usafirishaji haramu wa Binadamu,- Edwin Mugambila
TANAHUT
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
Shirika la Tanzaniarelief kwa ufadhili wa HSF na Ubalozi wa Canada
tumeshirikiana na ATS kufanya mafunzo kwa wasimamizi wa sheria
katika mikoa kadhaa ikiwemo DSM, ARUSHA...'Edwin Mugambila- Mkurugenzi Mtendaji- TRI
#EndHumanTrafficking l #UtuWanguHakiYangu
'Kampeni ya sahihi imefanyika katika mikoa 13 tareget ilikuwa ni ni kupat sahihi 5000, lakini leo tumevuka lengo kwa kukusanya sahihi 57,000 za wadau mbalimbali Tanzania bara na Zanzibar...' Sista Fatma _DMI
#EndHumanTrafficking l #UtuWanguHakiYangu
'Kampeni ya sahihi imefanyika katika mikoa 13 tareget ilikuwa ni ni kupat sahihi 5000, lakini leo tumevuka lengo kwa kukusanya sahihi 57,000 za wadau mbalimbali Tanzania bara na Zanzibar waliokubaliana
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
'Dhumuni kubwa la mashirika haya kuungana na kutengeneza mtandao wa kitaifa ni kuunganisha nguvu ya pamoja kuhakikisha kuwa mtandao unakuwa jukwaa la kubadilishana uzoefu, kutoa mafunzo, kukusanya taarifa (data) na kuhamasisha umma juu โคต๏ธ
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
'Kampeni ya sahihi imefanyika katika mikoa 13 tareget ilikuwa ni ni kupat sahihi 5000, lakini leo tumevuka lengo kwa kukusanya sahihi 57,000 za wadau mbalimbali Tanzania bara na Zanzibar
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
'TANAHUT ni mtandao wenye mashirika wanachama 105 kutoka mikoa mbalimbali. Yakiwemo NGOs CBOs,Taasisi za dini,watoa huduma kwa wahanga wa usafirishaji haramu wa Binadamu,Taasisi za elimu ya juu na mashirika ya Habari'
~Ewdwin Mugambila
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
'Ndugu ama wazazi wamekua wakihusika katika biashara hii ya usafirishaji haramu wa binadamu, kwa kuwalazimisha watoto wao kwenda kutafuta kipato mahala pasipo rasmi, hii ni kutokana na tatizo la umaskini katika familia nyingi'
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
Tumeshuhudia marekebisho ya sheria mara mbili mfululizo ambayo yamekuwa ni hatua muhimu na sahihi sana katika kuimarisha mapambano dhidi ya TIP. Kuondolewa kwa fine kama mbadala wa kifungo jera na kuongeza adhabu ni hatua muhimu sana.
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
Dhumuni kubwa la mashirika haya kutengeneza mtandao wa kitaifa ni kuunganisha nguvu ya pamoja kuhakikisha mtandao unakuwa jukwaa la kubadilishana uzoefu, kutoa mafunzo, kukusanya data na kuhamasisha umma juu ya madhara ya usafirishaji haramu wa binadamu.~Edwin
#UtuWanguHakiYangu
'Serikali ya awamu ya 6 inatambua michango ambayo imekua ikitolewa na mashirika yasiyo ya kiserikali pamoja na wadau wengine katika kupambana na biashara ya usafirishaji haramu wa binadamu nchini' #EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu
Leo ndio siku muhimu ya uzinduzi wa mtandao wa kitaifa wa kupinga biashara ya usafirishaji haramu wa binadamu
Uzinduzi huo utafanyika Ramada Usikose kufatilia kwa kupitia TANAHUT
#EndHumanTrafficking
#UtuWanguHakiYangu