iam_Jac(@Iam_jac5) 's Twitter Profile Photo

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. — Peter Madeleka VIDEO : bit.ly/3w4yDho

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. —  @PMadeleka #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO  :   bit.ly/3w4yDho
account_circle
#WenyeNchiWananchi(@KatibaMpyaTz_) 's Twitter Profile Photo

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. — Peter Madeleka VIDEO : bit.ly/3w4yDho

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. —  @PMadeleka #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO  :   bit.ly/3w4yDho
account_circle
Think Different(@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. — Peter Madeleka VIDEO : bit.ly/3w4yDho

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. —  @PMadeleka #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO  :   bit.ly/3w4yDho
account_circle
Mwanja(@shuvekingeke) 's Twitter Profile Photo

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. — Peter Madeleka VIDEO : youtube.com/live/IhN0J89vm…

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. —  @PMadeleka #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO  :   youtube.com/live/IhN0J89vm…
account_circle
Mmbetta Jr(@MmbettaJ) 's Twitter Profile Photo

Hivi kama mimi najipambania mwenyewe kimaisha yangu Sina ajira serekalini,Nakula navaa,Matibabu na kadhalika kumuogopa kiongozi ambae kodi yangu ndio inamfanya aishi vzr na familia yake kwakila kitu?

.

account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

MWANZA: Bodi ya Usajili wa Makandarasi ( ) pamoja na Baraza la Taifa la Ujenzi ( ) wametakiwa kuunda Mabaraza ya Wafanyakazi ambayo yanaundwa kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini Na. 6 ya Mwaka 2004 na kuelekezwa kuwa mabaraza hayo yafanye kazi isiwe kuundwa

MWANZA: Bodi ya Usajili wa Makandarasi (#CRB) pamoja na Baraza la Taifa la Ujenzi (#NCC) wametakiwa kuunda Mabaraza ya Wafanyakazi ambayo yanaundwa kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini Na. 6 ya Mwaka 2004 na kuelekezwa kuwa mabaraza hayo yafanye kazi isiwe kuundwa
account_circle
Dira Ya Samia(@DiraYaSamia) 's Twitter Profile Photo

Mafanikio ya yanaendelea kuonekana, kuongezeka kwa miradi iliyosajiliwa kupitia kituo cha uwekezaji (TIC), Ongezeko la idadi za ajira zilizotokana na ongezeko la uwekezaji.
1/2

account_circle
Nasser Mtengera(@Nas__Naa) 's Twitter Profile Photo

Jumuiya ya SADC, imekua ikitoa nafasi kwa Vijana kushiriki katika fursa mbalimbali kama Deligation za Uchaguzi, Ajira na Mazingira wezeshi japo sio kwa kiwango kinachoridhisha. ~ 𝐁𝐀𝐃𝐑𝐔 𝐉𝐔𝐌𝐀 𝐑𝐀𝐉𝐀𝐁𝐔

|

Jumuiya ya SADC, imekua ikitoa nafasi kwa Vijana kushiriki katika fursa mbalimbali kama Deligation za Uchaguzi, Ajira na Mazingira wezeshi japo sio kwa kiwango kinachoridhisha. ~ @badrujumah

#CharterProjectAfrica | #KanuniZaSADC
account_circle
Da Vee 👸(@VanesaTemba) 's Twitter Profile Photo

AJIRA ZA WAALIMU ZAIDI YA 10,000 elfu

Ndani ya ameajiri walimu 10,853 wa masomo ya sayansi na hisabati.

𝐌𝐀𝐌𝐀 anaipatia jawabu moja ya changamoto inayokwamisha wanafunzi kusoma masomo ya sayansi

AJIRA ZA WAALIMU ZAIDI YA 10,000 elfu

Ndani ya #MiakaMitatuYaMama ameajiri walimu 10,853 wa masomo ya sayansi na hisabati.

𝐌𝐀𝐌𝐀 anaipatia jawabu moja ya changamoto inayokwamisha wanafunzi kusoma masomo ya sayansi

#MamaYukoKazini
account_circle
Anthony ISHIKA Mghamba 🇹🇿(@AnthonyishikaTZ) 's Twitter Profile Photo

Kuelekea Uzinduzi wa wiki ya ACTWazalendo Timu ya hamasa ikiongozwa na shangwe Ayo Naibu Katibu Mwenezi Taifa akiambatana na Anthony ISHIKA Mghamba 🇹🇿 N/waziri kivuli wa Maliasili na Utalii na Ndolezi Waziri kivuli wa Ajira kazi na vijana leo wakiwa Jimbo la Siha.

Kuelekea Uzinduzi wa wiki ya @ACTwazalendo Timu ya hamasa ikiongozwa na @ayo_shangwe Naibu Katibu Mwenezi Taifa akiambatana na @AnthonyishikaTZ N/waziri kivuli wa Maliasili na Utalii na  @Ndolezi_Petro Waziri kivuli wa Ajira kazi na vijana leo wakiwa Jimbo la Siha.
#TukutaneMoshi
account_circle
Mariam Juma(@Juma__Mariam) 's Twitter Profile Photo

𝟒𝐑 - 𝐊𝐔𝐉𝐄𝐍𝐆𝐀 𝐔𝐏𝐘𝐀 (𝐑𝐄𝐁𝐔𝐈𝐋𝐃𝐈𝐍𝐆)

Barabara bora ni moja ya njia za kujenga uchumi imara utakaoongeza ajira kwa vijana, na kufungua fursa kwa makundi yote ya kijamii.

𝟒𝐑 - 𝐊𝐔𝐉𝐄𝐍𝐆𝐀 𝐔𝐏𝐘𝐀 (𝐑𝐄𝐁𝐔𝐈𝐋𝐃𝐈𝐍𝐆)

Barabara bora ni moja ya njia za kujenga uchumi imara utakaoongeza ajira kwa vijana, na kufungua fursa kwa makundi yote ya kijamii.

#MamaYukoKazini
account_circle
Namdi Azikiwe.🇹🇿🇰🇪(@NamdiAzikiwe) 's Twitter Profile Photo

Sekta ya usafiri haikuunga mkono wananchi wakati wananchi wanapinga mkataba wa bandari, leo hii wanaambiwa wachague ajira kati ya TPA na DP World. — Peter Madeleka VIDEO : youtube.com/live/IhN0J89vm…

account_circle
SIR JEFF⚡🇹🇿(@Sirjeff_D) 's Twitter Profile Photo

Muungano wa hizi 'K' nne;-

-Kujipa standards za juu
-Kutokea familia duni
-Kukosa ujuzi na maarifa
-Kukosa ajira

Husababisha jamii iwe na wanawake malaya - malaya na wanaume machawa na mapapai.

account_circle
AFRO BRAZILIAN 🇧🇷(@Richard05016263) 's Twitter Profile Photo

Astashahada = Certificate
Stashahada =Diploma
Shahada = Bachelor's Degree
Shahada ya uzamili=Master's
Degree
Shahada ya Uzamivu=PhD

YUPI MWENYE NAFASI KUBWA YA KUPATA AJIRA KWA HARAKA

account_circle
Jambo TV(@Jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO.
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” Simbachawene.

Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira George Simbachawene
wakati akijibu hoja za mbunge

account_circle