Muamko wa wanawake katika sekta ya #TEHAMA ni muhimu kwa maendeleo endelevu ya kijamii
Kwa kuwekeza katika elimu, kuboresha mazingira ya kazi, na kuhamasisha uwakilishi wa wanawake katika teknolojia, jamii itafaidika na mawazo mapya!
#WanawakeNaDijitali #SheTechTZ #TechWomenTZ
Baadhi ya wadau waliobahatika kutembelea banda letu siku ya jana kwenye maadhimisho ya hedhi salama yaliyofanyika mkoa wa Arusha.
Lengo ni kuwapatia elimu kuhusu Afya ya Hedhi salama.
#feminahip #redagenda #mhm2024
Shirika la CDO tunashiriki kikamilifu katika kuhakikisha Hedhi Salama kwa wasichana walio katika rika balehe na umri wa kuzaa kwa kuwapa elimu kuhusu Afya ya Uzazi na jinsi ya kijikinga na maambukizi ya UKIMWI. #menstrualHygieneDay