Happy #InternationalWomensDay Our President is a WOMAN and we are so PROUD🇹🇿
#MalkiaWaNguvu
#SuperWoman
#MwanamkeWaShoka
#Mama
Mwimbaji Ruby kwenye stage akitoa burudani katika shughuli ya utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu mwaka 2019.
#MalkiaWaNguvu
#UshindiUnakusubiri
RC Makonda alivyoguswa na Malkia huyu wa Nguvu aliyechukua jukumu la kusaidia Watoto wa Kike kwenye swala la ukeketaji ambapo Makonda ametoa mchango wa gari kwa Mama huyu.
#MalkiaWaNguvu
#UshindiUnakusubiri
Furaha kubwa kuhudhuria sherehe ya malkia wa nguvu, tunaendelea kumuenzi Mwanamke kwa ujasiri wake. 👑✨ #MalkiaWaNguvu #wekatuweke
Mtoto wa kike ni chachu ya maendeleo.Watoto wa kike wanahaki ya kupata nafasi kwenye vyombo vya maamuzi.
#MalkiawaNguvu
#Girlpower
#IWD2021
Leo ni Siku ya Wanawake Duniani lakini pia inapigwa Kariakoo Derby Uwanja wa Taifa, Afisa Mhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz amewaomba #MalkiaWaNguvu wote wa Yanga kuonesha nguvu ya mchezaji wa 12 ambaye ni shabiki.
(📹 via CLOUDS)
Siku ya leo tunasherehekea wanawake Shujaa ambao ni nguzo ya familia, wachapakazi na wasiojua kukata tamaa.
Naungana na #MediaConvergency katika kuisherehekea siku hii ya wanawake duniani.
#MalkiawaNguvu
#ChooseToChallenge
#IWD2021
Kauli mbiu ya Siku ya wanawake inasema 'Wanawake katika Uongozi kuelekea dunia yenye Usawa na amani.' Tunasihi kwamba akina mama, dada, na mtoto wa kike tambua kuwe wewe ni wa thamani na unaweza
#MalkiawaNguvu
#ChooseToChallenge
#IWD2021
Kutoka katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere DSM ambapo ndipo #MalkiaWaNguvu 2019 inapofanyikia.
#MalkiaWaNguvu
#UshindiUnakusubiri
#MalkiaWaNguvu nipo hapa kwenye #LeoTena na nimekuja na Pilau na kubwa ni kuwa leo #Shishifood inazinduliwa rasmi.
Malkia wa Nguvu kutoka CMG wakicheza na Mkurugenzi Mkuu wa CMG Joseph Kusaga wimbo wa ‘hakuna Mungu kama wewe’ wimbo ambao Kusaga alishwahi kusema kuwa ni moja ya nyimbo ambazo anazipenda sana.
#MalkiaWaNguvu
#UshindiUnakusubiri
Mwimbaji na Mfanyabiashara ya chakula Shilole akizungumza huku machozi yakimtoka wakati akitoa shukrani zake baada ya kupewa Tuzo ya Malkia wa Nguvu kupitia kipengele cha Biashara ya Chakula.
#MalkiaWaNguvu
#UshindiUnakusubiri
Kama kawaida #MalkiaWaNguvu ndo roho ya TOTBonanza. Asilimia kubwa ya shughuli hapa uwanjani kina dada ndo wanasiamamia show 🙌🏿 #TOTBonanza