Feisal Salum anaeleza pale ambapo alishindwana na Viongozi wa Simba SC kimazungumzo na mlango mwingine ukafunguka wa mazungumzo kati yake na Viongozi wa Yanga SC. • #PowerBreakfast
Mahojiano ya Feisal Salum na #PowerBreakfast yapo LIVE kwenye Youtube channel ya Clouds Media •
It's breakfast time...
Good morning and welcome to the #POWERBreakfast with Thabiso TT Tema till 09:00.
Get in touch with us throughout the show.
☎️: 0861 987 000
📲: 083 303 7093
📺: DSTV Channel 889
🖥Live stream: power987.co.za/stream/
Bra Thabiso TT Tema every morning I look forward to #TwitterTrends with Lebohang Phokela he just makes my day. Ne he should consider stand up comedy for real.POWER 98.7 #POWERBreakfast
Kwenye #PowerBreakfast ya CloudsFM tumeanza na story za kujitafuta mpaka kujipata kwa Feisal Salum. Feisal Salum🇹🇿, ambaye amekubali ku-share na sisi story za kutoka JKU ya Zanzibar hadi namna alivyojiunga na Klabu ya Wananchi Young Africans SC
#PowerBreakfast
Thabiso TT Tema Lebohang Phokela please Lebo stop misleading people chiefs has a cup, & I will never comprise on Heineken #powerbreakfast
Feisal Salum Feisal Salum🇹🇿 anaeleza endapo Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi Said akiachia ngazi hata leo hii, basi muda huo huo yeye anarejea Klabuni Young Africans SC •
#PowerBreakfast
“Endapo Rais wa Yanga akaondoka Madarakani, Ata leo Narudi Kuichezea yanga Kiroho safi” -Fei Toto Via #PowerBreakfast
Monna wao tlatsa trolley ka
'no -name' items.🚩🚩🚩
I knw go sleg, but atleast add some colour....when able🤣🤣🤣
Thabiso TT Tema #powerbreakfast
COMING UP: Suspended Public Protector Busisiwe Mkhwebane has again called for the recusal of the chairperson of the Section 194 inquiry.
Thabiso TT Tema will be in conversation with Richard Dyantyi, chairperson of the Section 194 inquiry.
#POWERBreakfast
#POWERBreakfast
“Nafsi yangu ilitamani kwenda kuchezea Yanga, nilikubali kwenda kuichezea Yanga kwa kipato kidogo zaidi ya kile ambacho nilikikataa Simba SC, ni kwasababu ya mapenzi tu' -Feisal Salum Feisal Salum🇹🇿 LIVE muda huu kwenye #PowerBreakfast ya CloudsFM
Katika kujibu yale machaguo matatu aliyoyaeleza Eng. Hersi Said katika mahojiano na #PowerBreakfast wiki iliyopita, Feisal anaeleza hakuna klabu yoyote ambayo imekwisha kumpa ofa hadi sasa lakini hawezi kurejea Yanga SC kutokana na nafsi yake haipo tena klabuni hapo.…
POWER 98.7
#POWERBReakfast
Thabiso TT Tema
Lebohang Phokela
2 features on ur show I dont wanna miss: twitter trends by the king of twitter trends Lebo Phokela and U Win. Lebo kills this feature DEAD maan,,luv it...
Feisal amepangua suala la pesa yake ya signing fee Tsh Million 100 kulipwa mara 1 kwa mkupuo, anadai alikuwa analipwa kwa mafungu tena ni hadi kwa kugombana! 🤔
#PowerBreakfast
MMC for Group Corporate and Shared Services, Cllr Loyiso Masuku will join Thabiso TT Tema on the #PowerBreakfast tomorrow morning on POWER 98.7. #JoburgSOCA2023 ^PS