Maonesho ya Huduma kutoka kwa taasisi mbalimbali hapa uwanjani ikiwa sambamba na maadhimisho ya Wiki Ya Huduma kwa Wateja.
KARIBU TUWAHUDUMIE, Njoo mkutane na Wadau wetu, NSSF, PSSSF, WCF, OSHA na TUCTA
#WaajiriBonanza2023
#ATETanzania
ATE kwa kutambua umuhimu wa UTATU, mwaka huu itashirikiana na
wadau wa Kazi na Ajira wakiwemo Ofisi ya Waziri Mkuu-KVAU, WCF,
NSSF, PSSSF, TUCTA na OSHA katika kuandaa na kusherekea kwa
pamoja Waajiri Health Bonanza.~ Bi. Suzanne Ndomba-Doran
#WaajiriBonanzaLaunch
“Chama cha wafanyakazi iliitwa NUTA na TANU, baadaye JUWATA na CCM, ikapakwa rangi ikaitwa OTTU alafu TUCTA
Ni maCCM yaleyale!” - Tundu Antiphas Lissu 🤣🤣
Usipitwe
youtube.com/live/kLeRR2NGD…
Maonesho ya Huduma kutoka kwa taasisi mbalimbali hapa uwanjani ikiwa sambamba na maadhimisho ya Wiki Ya Huduma kwa Wateja.
KARIBU TUWAHUDUMIE, Njoo mkutane na Wadau wetu, NSSF, PSSSF, WCF, OSHA na TUCTA
#WaajiriBonanza2023
#ATETanzania
Cc Association of Tanzania Employers(ATE)
Mh. Waziri Mkuu anawapongeza wadau mbalimbali ikiwemo TUCTA kwa kufanya kazi pamoja ili kuongeza tija kwenye serikali yetu. Kipekee nampongeza mshauri elekezi aliyekamilisha mchakato wote wa kuwapata washindani waliopokea tuzo siku ya Leo - Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
#EYA2023 | #KiafrikaZaidi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe Deo Ndejembi amekutana na kufanya kikao cha pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na kukagua maendeleo ya ukarabati wa uwanja wa Sheikh Amri jijini Arusha ambao
Another day to remind you!
Zimebaki siku Tatu tu kuelekea #WaajiriBonanza2023
Association of Tanzania Employers(ATE) kwa kushirikiana na Osha Tanzania, TUCTA, NMB Bank na mashirika mengine
Wanakuletea Bonanza na Lengo likiwa Kuimarisha Afya ya Akili sehemu ya Kazi.
#WaajiriBonanza2023
#ATETanzania
One day Left 🔥
Association of Tanzania Employers(ATE) in partnership with Osha Tanzania, TUCTA, NSSF, WCF,
Wanakuletea Bonanza maeneo ya Viwanja vya Leaders Club ni kuanzia Kesho mpaka siku ya Jumamosi.
Karibu Uburudike na Ujifunze Mambo mengi kuhusu Afya ya Akili.
#WaajiriBonanza2023
#ATETanzania