Faustine Ndugulile
@DocFaustine
Parliamentarian-Tanzania| Doctor| Fmr Minister-ICT| Fmr Deputy Minister-Health| Passionate about Sports, ICT & Global Health
ID:24580391
http://drfaustine.wordpress.com/ 15-03-2009 20:31:30
12,2K Tweets
333,5K Followers
1,1K Following
Follow People
Asante Mhe Waziri wa Ujenzi Innocent L. Bashungwa (Bash) kwa kuja Kigamboni kukagua athari za mvua kwenye miundombinu na kutoa matumaini kuhusu ujenzi wa barabara ya Kibada-Mwasonga-Tundwi Songani (41km) na Cheka-Kimbiji (10km).
Wananchi wa Kigamboni wanasubiria kwa hamu ujenzi wa barabara hizi.
ArikoMaaarge😒 Kigamboni wana mbunge Faustine Ndugulile na anajali wapiga kura wake sana.
As we commemorate #WorldMalariaDay , let us work towards intensifying efforts to eradicate malaria by 2030. Malaria vaccines can play a crucial role in achieving this goal.
Nimepokea taarifa ya kukatika kwa barabara ya Kibada-Mwasonga kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam.
Timu ya watalaamu kutoka TANROADS HQ wako njiani kuja kwenye eneo lililoathirika kwa lengo la kuchukua hatua za haraka za kuunganisha mawasiliano ya barabara hii.
Kesho asubuhi nitauliza swali Bungeni kuhusu lini ujenzi wa Kibada-Mwasonga unaanza. Fuatilia Bunge kupata majibu ya Serikali.
Wizara ya Ujenzi
TANROADS HQ
Innocent L. Bashungwa (Bash)
Gerry Moses
Zuwena Khatib
Ijumaa nimefanya ziara ya tathmini ya uharibifu wa miundombinu unaotokana na mvua zinazonyesha. Nakiri tatizo ni kubwa sana Kigamboni. Tumekubaliana na Manispaa ya Kigamboni na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuhusu hatua za muda mfupi na za mrefu za kutatua changamoto hizi. Nafuatilia kwa karibu.
Nimepokea ujumbe wako. Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) #Kigamboni kwa sasa wanafanya tathmini ya mvua kwenye maeneo yote ya Kigamboni. Lengo ni kujua ukubwa wa tatizo na kuchukua hatua za haraka.
Aidha, barabara za Vijibweni-Soweto na kwa Meya ziko kwenye mchakato wa kujengwa kwa lami kupitia DMDPII
On the occasion of #WorldHealthDay , with the theme #MyHealthMyRight , it is crucial to emphasize the importance of promoting equal access to high-quality and cost-effective healthcare services. Access to healthcare should be a fundamental right, not a luxury.
Conversations on Gender Equity with Helen Clark and Jakaya Kikwete excellently moderated by Adanna
To achieve #GenderEquality we must take action for #GenderEquity
Equality 🟰 Sameness
Equity 🟰 Fairness
#WLHGC2024 WomenLift Health
Joseph Nhan-O'Reilly 🇺🇦 Education Cannot Wait UK in Cameroon🇬🇧🇨🇲 Geneva Global Hub for Education in Emergencies Bunge la Tanzania Neema Lugangira Parliament of Uganda Ministry of Education and Sports - Uganda UNICEF Uganda UNICEF Tanzania Learning Changes Everything Human Capital Africa Mtandao wa Elimu TZ 🪙 Financing Education
We engaged with IPNEd Member and Tanzanian 🇹🇿 Bunge la Tanzania MP Faustine Ndugulile on the need to close the education financing gap to ensure children attend school and learn.
Including by ensuring quality books, skilled teachers and School Meals Coalition
(4/4)
Hongera sana kwa majaribio haya ndugu H Simba - MCIPS. Nitakuwa mgeni wako baada ya kuahirisha Bunge ili nami nijifunze kuhusu kilimo cha cocoa Kigamboni. Cocoa inaweza kuwa ni zao la kibiashara kwa wana Kigamboni. Ni jambo kubwa sana hili, linahitaji kupongezwa Hussein M Bashe
Happy birthday his honorable Faustine Ndugulile , I wish you happy and long life in the world as you keep on doing great service 🎂🎉
Nakutakia kheri katika siku yako ya kuzaliwa Mhe. Faustine Ndugulile Faustine Ndugulile
#HappyBirthday