m.s.a.k.i †
@raphyrodrick
Bsc. Insurance & Risk Management | Abnormally Normal | Tycoon | 🕊️ mom |
ID:1542464720220954624
30-06-2022 11:07:14
231,9K Tweets
30,9K Followers
6,1K Following
Katibu mkuu UVCCM ndugu Jokate Mwegelo amewaomba watanzania kuendelea kushikamana na kudumisha tunu za muungano, Huku akiwa kumbusha vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali
#TukataeLughaZaChukiNaUbaguzi
#KataaUchocheziMuunganoWetuTunuYetu
Geita imeitwa ikaitikaaa🔥.
Mapema leo comr. Jokate Mwegelo amekagua Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigongo Busisi-Mwanza kuona maendeleo ya Mradi huo ambao utatatua Changamoto ya Usafiri kwa Wakazi wa Mwanza na jirani.
#KataaUchocheziMuunganoWetuTunuYetu
#TukataeLughaZaChukiNaUbaguzi
Hakika wana Dar es Salaam wameitika! Hongera sana Mhe RC Albert Chalamila na Waheshimiwa Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa DSM kwa kuandaa vyema tukio la leo la #MazoeziYaPamojaKwaAfya . Aidha nawashukuru Wote waliojitokeza wakiwemo jogginh clubs mbalimbali za mkoa wa DSM na maveterani…
Chimbuko la CCM lipo kwenye Matawi, huko ndipo walipo Wanachama na Wakereketwa wote wa CCM.
-Katibu mkuu wa Vijana CCM Jokate Mwegelo
#KataaUchocheziMuunganoWetuTunuYetu
#TukataeLughaZaChukiNaUbaguzi
#Mtumba
CONTACTS: #255718007463 WhatsApp📞 Signal, Telegram 📧,Calls☎️, TxT✉️
#TUNAFANYADELIVERY 🛵📦 #MIKOANITUNATUMA 🚛📦
Katibu mkuu UVCCM ndugu Jokate Mwegelo amewaomba watanzania kuendelea kushikamana na kudumisha tunu za muungano, Huku akiwa kumbusha vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali
#TukataeLughaZaChukiNaUbaguzi
#KataaUchocheziMuunganoWetuTunuYetu
Haya ni mapokezi ya Katibu mkuu wa UVCCM Comredi Jokate Mwegelo na Naibu Katibu mkuu wa UVCCM Comredi Abdi Leo mei Mjini Geita.
#KataaUchocheziMuunganoWetuTunuYetu
#TukataeLughaZaChukiNaUbaguzi
Katibu mkuu UVCCM amewataoa watanzia kuendelea kushikamana na kudumisha tunu za muungano, Huku akiwa kumbusha vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali
#TukataeLughaZaChukiNaUbaguzi
*✳️CHIMBUKO LA CHAMA CHA MAPINDUZI NI MASHINA; CDE JOKATE*
🗓️04 Mei, 2024
📍Geita
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Komredi Jokate Mwegelo (MNEC) amesema Chimbuko la Chama cha Mapinduzi ni kutoka kwenye Mashina kwani huko ndipo kwenye 👇👇
TEVA Leo zipo 🙌🔥🔥
.
Bei: 60,000/= badala ya 75,000/=
.
Size 40-45
.
Njoo Whatsapp chap nifanye delivery 🚚🛍️
.
wa.me/message/AQXUYZ…
.
P. S. Mkoani unapokea ndani ya masaa 24 tu
.
MIRIAM💜 Carol Ndosi Daktari Wa Manesi 💉💊 SANUKAnaCHAPO Lubasha Jr Adventure-360 Moyo wa TAIFA ™️
'Ndugu zangu Chimbuko la Chama cha Mapinduzi lipo huku kwenye Matawi, huku ndipo walipo Wanachama na Wakereketwa wote wa CCM, lazima huku tuje tuone maendeleo ya Wanachama wetu'~|Jokate Mwegelo katibu mkuu UVCCM
#KataaUchocheziMuunganoWetuTunuYetu
#TukataeLughaZaChukiNaUbaguzi
Akiwa Mwanza Leo Katibu mkuu wa UVCCM Jokate Mwegelo alikagua Maendeleo ya Ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi
Ujenzi wa daraja hili unaotekelezwa na serikali ya CCM utakwenda kutatua changamoto ya usafiri kwa wakazi wa Mwanza na mikoa Jirani.
#KataaUchocheziMuunganoWetuTunuYetu …