Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

Mzee Mpili ni miongoni wa wageni walioalikwa leo ikulu kwenye Hafla iliyoandaliwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwaajili ya Kuipongeza klabu ya Young Africans SC kwa hatua waliyofikia ya kucheza Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF)

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

KITENGE ataacha lini UONGO? Halafu alivyo mjinga mwenye confidence akaweka na hashtag kuonyesha ni mtu bingwa kwenye maapdesti... KARAMOJA ipo Uganda ndiyo picha hizo zimewekwa na Bobi Wine. Tukio la pasta Paul Mackenzie limetokea Malindi, Kenya.

KITENGE ataacha lini UONGO? Halafu alivyo mjinga mwenye confidence akaweka na hashtag #KitengeUpdates kuonyesha ni mtu bingwa kwenye maapdesti... KARAMOJA ipo Uganda ndiyo picha hizo zimewekwa na Bobi Wine. Tukio la pasta Paul Mackenzie limetokea Malindi, Kenya.
account_circle
Noor Herbal Hand Made Cosmetics Products(@HerbalHand) 's Twitter Profile Photo

तील हम है,और गुड़ हो आप,मिठाई हम है,और मिठास हो आप,इस साल के पहले त्योंहार से….हो रही आज शुरुआत… आपको हमारी ओर से हैपी मकर संक्रांति 🪁

2023 bazi

तील हम है,और गुड़ हो आप,मिठाई हम है,और मिठास हो आप,इस साल के पहले त्योंहार से….हो रही आज शुरुआत… आपको हमारी ओर से हैपी मकर संक्रांति 🪁

#MakarSankranti #MakaraSankranti #MakarSankranti2023 #makarsankrantispecial #patang #patangbazi #kitefestival #kitengeUpdates
account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

“Viongozi wa Yanga SC mmeomba ombi lenu nami nina ombi langu kwenu, malizeni mzozo na wachezaji, suala la Feisal Salum mkamalizane nalo haiwezekani timu kubwa mkawa na mzozo na katoto” - Mhe. Samia Suluhu ✍️

account_circle
kipipa(@MusimuJueni) 's Twitter Profile Photo

Maulid Kitenge ( Amewataka mawaziri kuacha kuajiri maafisa habari binafsi,badala yake wavitumie vitengo vya habari kutoa taarifa za Serikali ) HAYA MANENO YA UONGO

@mshambuliaji ( Amewataka mawaziri kuacha kuajiri maafisa habari binafsi,badala yake wavitumie vitengo vya habari kutoa taarifa za Serikali ) HAYA MANENO YA UONGO

#KitengeUpdates
account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

Mdau wa masuala ya usafirishaji wa Makontena toka Uingereza anasema tusiingize siasa maana DP World ni Kampuni kubwa na inahudumia mpaka Bandari ya Uingereza.✍️

account_circle
AfroMambo(@afro_mambo) 's Twitter Profile Photo

Yesu Wa Tongaren now says that because Makenzi's cult followers were fasting to see Jesus, the cultist should have simply transported them to Bungoma to see him!

This country should now be closed for repairs!! Massacre

Yesu Wa Tongaren now says that because Makenzi's cult followers were fasting to see Jesus, the cultist should have simply transported them to Bungoma to see him!

This country should now be closed for repairs!! #CULT #MacKenzie #kitengeUpdates #Shakahola #ShakaholaMassacre
account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

Stephen Membe mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkataa Daktari wa Familia aliyehusika kupima sababu za kifo cha Bernard Membe.

account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

PATCHO MWAMBA NI MAYELE MTUPU

Mwanamuziki wa Muziki wa Dansi nchini Patcho Mwamba usiku wa jana akiwa anatumbuiza Mjini Mafinga kwenye Wilaya Mufindi Mkoani Iringa, amejikuta akicheza style ya Fiston Mayele ambaye ni mshambuliaji wa Yanga SC.

account_circle
Kissmetrics(@Kissmetrics) 's Twitter Profile Photo

After 10+ years, today we're excited to launch the new Kissmetrics!

✅New dashboard
✅New website
✅New demos & more

Schedule a demo to see what's new:
kissmetrics.io

account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri K Museveni mara baada ya kuwasili katika Mradi wa Umeme wa Kikagati - Murongo, Mbarara nchini Uganda tarehe 25 Mei, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. @SuluhuSamia na Rais wa Uganda Mhe. @KagutaMuseveni mara baada ya kuwasili katika Mradi wa Umeme wa Kikagati - Murongo, Mbarara nchini Uganda tarehe 25 Mei, 2023.

#KitengeUpdates
account_circle
Wilhel(@Mina_Annabel) 's Twitter Profile Photo

Ata leo ni uzito tu hapa. For filming costumes, traditional themed attires, ruracios and other traditional events in bulk. Tupo site kwa bei nafuu. Grab outrtimeless ankara pieces na usmartike!! Call/Whatsapp 0775086017. Retail price 1200 for adults and children, 1k

Ata leo ni uzito tu hapa. For filming costumes, traditional themed attires, ruracios and other traditional events in bulk. Tupo site kwa bei nafuu. Grab outrtimeless ankara pieces na usmartike!! Call/Whatsapp 0775086017. Retail price 1200 for adults and children, 1k
account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Medali kama ishara ya shukrani kutoka kwa Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Eng. Hersi Said wakati wa hafla ya kuipongeza timu ya Yanga iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo.

Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Medali kama ishara ya shukrani kutoka kwa Rais wa Klabu ya Yanga,  Eng. @Caamil8 wakati wa hafla ya kuipongeza timu ya Yanga iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo. 

#KitengeUpdates
account_circle