Malezi na afya ya akili
Wazazi wanawasaidia vipi watoto kuwa wastahimilivu na kukabiliana na baadhi ya changamoto zinazoathiri afya ya akili
#ElimikaWikiendi
Mwezi wa Afya ya Akili
Nimevutiwa na hili somo 'Malezi na Afya ya akili'
Si la kukosa uje tujifunze kutoka kwa Dada mtaalam Phelisters Wegesa🇹🇿 #ElimikaWikiendi
Ikiwa ni mwezi wa Afya ya Akili.
Tumekuandalia mada ya 'Malezi na afya ya akili' kutoka kwa Phelisters Wegesa🇹🇿 usipange kukosa kujifunza kwenye #ElimikaWikiendi
Malezi na afya ya akili
Katika kukabiliana na changamoto za afya ya akili Phelisters Wegesa🇹🇿 kaandaa somo zuri jumamosi hii jukwaani #ElimikaWikiendi #AfyaYaAkili
Unadhani malezi uliyopata utotoni yameathiri matendo na maamuzi yako ya sasa?
#AfyaYaAkili
#MtotoMahiri
#WatotoAfrika
Harakati za kupambana na mafuriko
Maafisa wa polisi wameungana na wahisani kutoka wakfu wa kijamii wa Oshwal kutoa msaada wa vyakula na malazi kwa wenyeji walioathirika na mafuriko Kaunti ya Kiambu.
#NTVAdhuhuri
Fridah Mwaka
#RipotiYaCAG : Ripoti ya Ukaguzi wa Ufanisi kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 imebaini kuna msongamano wa Wafungwa kwa baadhi ya Magereza. Maofisa wa Magereza walieleza kuwa msongamano ulitokana na idadi ndogo ya Vyumba vya Malazi
Aidha, ukaguzi ulibaini Jeshi la Magereza halikuwa na…