βSiasa Ina Mambo mengi ya uongo na Ukweli,ningeweza mpa mtu ushauri Kama Kiongozi wa Nchi Lakin siwezi kumuahidi nafasi kuhamia chama changu Kwakuwa timu yangu ilikuwa inatosha na hata waliokuwa benchi walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kushika wadhifa huoβ Jakaya Kikwete 2024/04/28β¦
MSIMAMO: Singida FG na JKT Tanzania wanazidi kukwea juuβ¦β¦β¦.KMC na Coastal Union kazi ipo nafasi ya nne.
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #Msimamo #Standing #LeagueTable
My Brother Salim Kikeke hii ilikuwa ndoto na maono tuliyokuwa nayo muda mrefu. Wakati unafanya maamuzi ya kurudi Nyumbani Tanzania tulipata nafasi ya kuzungumza na nikakueleza kiu yangu yakutaka kufanya kazi na wewe Gwiji, Nguli na Mtaalam wa Tasnia hii ya Habari Africa na Dunia.
CPA Helena Robert anasema kama ukiona umeshindwa kurejesha mkopo uliokopa kwa wakati jitahidi uzungumze na aliyekukopesha iwe mtu binafsi au taasisi wakuongezee muda au wakupe nafasi utoe kidogokidogo usijifiche kisa unadaiwa
#Weekendbreakfast #EastAfricaRadio
Mfungulie mwanao Chanua Account, muwekee chochote kitu huku ukimfundisha nidhamu ya pesa, na upate nafasi ya kujishindia Tablet yake.
Tembelea tawi la NBC lililopo karibu yako Au piga 0800 711 177 (BURE).
#ShindaMechiZako