Tuambie hapa chini kwenye comment ni wanawake wa mkoa gani hapa nchini wanaongoza kuwa na hasira na ubabe?
#EastAfricaTV #EastAfricaRadio #Wanawake #Tanzania #HainaKuchoka
#MAMAMIA : @yustamsowoya amesema na watu wote wanaoshindwa kutumia mawazo yao na kuyafanyia kazi badala yake wana visingizio vingi na wamebweteka, anasema wasimame na kwenda kufanya kazi waache kukaa na mawazo yao.
#EastAfricaRadio #MamaMia #HainaKuchoka #ripreginaldmengi
#VIDEO Mdau wa #SupaBreakfast akieleza kiwango cha mahari walichokuwa wanakilipa miaka ya nyuma
#EastAfricaRadio
#VIDEO Mtangazaji wa #SupaBreakfast ya #EastAfricaRadio kissa_daniel amesema kauli yake aliyoitoa wiki iliyopita kuhusu kutokubaliana na tafsiri ya wanawake wengi kuhusu 50 kwa 50 imepingwa na baadhi ya watu na wengine wameikubali Anasema kuwa kauli hiyo haina lengo la…
#VIDEO Mdau wa #SupaBreakfast amesema kwamba pengine serikali imeamua kuweka usiri na kuamua kutotangaza nyongeza ya mshahara siku ya jana
#EastAfricaRadio
Makubaliano ya mwisho yaliamua nani bora kati ya Freddy Michael Kouablan na Joseph Guédé Gnadou
Tuandikie hapo chini kwenye comment,
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #HainaKuchoka #Michezo
#VIDEO Haya ni baadhi ya maoni ya wananchi jijini Dar es Salaam kuhusu kima cha chini cha mshahara ambacho wamekitaja kwamba kinaweza kikaendana na hali halisi ya maisha ya sasa.
#SupaBreakfast
#EastAfricaRadio
#FUNGUKA : Tuandikie comment yako, halafu sisi tutaruka nayo live ndani ya #EastAfricaTV saa 9:00 alasiri.
#EastAfricaTV #EastAfricaRadio #Funguka #KiongoziBora #Sifa #Tabia #2024
Wakali wa Location hapa ni wapi?
Picha: takadini_003🇯🇲🤕🍁
#Dodoso #HainaKuchoka #EastAfricaTv #EastAfricaRadio
#VIDEO Ni kweli fedha za sasa hivi hazina baraka kama ilivyokuwa miaka ya nyuma?, msikilize mzee Abdallah hapa akiwazungumzia vijana wa kizazi hiki kwa jinsi ambavyo wanatapanya fedha
#SupaBreakfast
#EastAfricaRadio
#FUNGUKA : Tuandikie comment yako, halafu sisi tutaruka nayo live ndani ya #EastAfricaTV saa 9:00 alasiri.
#EastAfricaTV #EastAfricaRadio #Funguka #MeiMosi2024
#BURUDANI Comment ya Swahili Kid kuhusu kinachoendelea kati ya boss wake SIMBA..!🦁 na mkali wa muziki wa Singeli Dulla Makabila.
#PlanetBongo #WCB #DiamondPlatnumz #DullaMakabila #DVoice
#VIDEO Mtangazaji wa #SupaBreakfast kissa_daniel ameeleza kuwa kazi yake ya kwanza kuifanya ikamuingizia kipato ilikuwa ni kuuza mitumba aliyokuwa anaifuata Ilala Boma na kuuza chuo
Tuambie wewe kazi yako ya kwanza iliyokuingizia kipato ni ipi ? #EastAfricaRadio
#MICHEZO : Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Pacome Zouzoua 'profesa' amesema ni kweli ametimiza mwezi sasa hajaingi uwanjani kucheza , ila amewaambia mashabiki wa Yanga SC mwanzo mwa msimu ujao atarejea uwanjani kuwatumika na kutoa burudani.
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio