Mobilizing community on COVID-19 vaccination.. What the video to hear the question asked on effectiveness of the vaccine, What's your comment on this question? Get vaccinated and stay safe.
#ujanjakuchanja #aubingwa #shootyourshot
African Union Bingwa Initiative CDC Tanzania Africa CDC Wizara ya Afya Tanzania πΉπΏ
'Baada ya kuchanja tukawauliza wananchi, kuna mtu aliyepata m,atatizo yoyote, wakasema hapana'
-Brodi Mwampasie
#ChanjaUsalimike
#SongweInachanja
#UjanjaKuchanja
Wananchi wa Songwe wanatembelewa na wahudumu wa afya katika maeneo yao ya kazi na wanachanja chanjo kamili ya UVIKO-19.
Chanjo hii ni bure na hiari.
#ChanjaUsalimike
#SongweInachanja
#UjanjaKuchanja
Tanzania imepiga hatua kubwa sana katika utoaji wa Chanjo ya UVIKO-19 ambapo 52% ya watu wamepata chanjo hii. Tunaipongeza Serikali, Washirika wa Chanjo, Watoa Chanjo, Wahamasishaji.
Dkt. Boniface Makelemo - WHO
#UjanjaKuchanja #JikingeNaUVIKO19
Chanjo ya UVIKO19 inaendelea kutolewa kote nchini na wahudumu wa afya wanazunguka kijiji hadi kijiji huku wakitoa elimu
#UjanjaKuchanja #JikingeNaUVIKO19
Safari yako ya kwanza na ndege ulienda wapi?
Muhimu zaidi usiache kupanda Air Tanzania muda wote husisitiza matumizi ya barakoa na kuchanja
#UjanjaKuchanja #JikingeNaUVIKO19
Usisikilize story za vijiweni juu ya chanjo ya UVIKO 19, wataalam wa afya ndio watu sahihi watakueleza faida za kupata chanjo hiii ambayo ni bure kabisa.
Songwe imeitikia.
#ChanjaUsalimike
#SongweInachanja
#UjanjaKuchanja
'Serikali ilipoleta wahamasishaji, tulishirikiana nao kufika ujumbe, wananchi wamepokea vizuri tu na wanachanja'
-Brodi Mwampasie
#ChanjaUsalimike
#SongweInachanja
#UjanjaKuchanja
Umuhimu wa Elimu ya uchanjaji wa chanjo ya UVIKO19 inaendelea hapa Mpanda na jamii imepata uelewa mkubwa na wako tayari kuchanjwa ili kujilinda na ugonjwa huu #UjanjaKuchanja #JikingeNaUVIKO19
Mapambano ya UVIKO19 duniani ni ya kila mmoja na sisi kama wahisani tuendelea kuwezesha upatikanaji wa chanjo ili kila mtanzania apate chanjo na elimu ya uelewa juu ya umuhimu wa chanjo
#UjanjaKuchanja #JikingeNaUVIKO19
Let throw back to 2022 when we #AUBingwa were receiving training and capacitatted ready to mobilize and advocate the community on COVID-19 vaccination.
#shootyourshot #ujanjakuchanja #AUBingwa
African Union Bingwa Initiative
African Union Africa CDC
Watanzania wote, Mmoja baada ya mwingine, zamu kwa zamu tujitahidi kukamilisha dozi za chanjo ya uviko-19 ili tuweze kujikinga na virusi hivyo.
#inaanzanawewe
#ujanjakuchanja
@africacdc
African Union Bingwa Initiative
#Shootyourshot
#AuBingwa
Chanjo ya Uviko-19 inatolewa kote Tanzania, bure na ni hiari.
#VumbuaUkweli
#ChanjaUsalimike
#UjanjaKuchanja
Chanjo ya KORONA ni salama, Imejaribiwa kupitia tafiti mbalimbali za Kisayansi na Imethibitishwa na Shirika la Afya Duniani na Kuidhinishwa na Wizara ya Afya Kupitia Mamlaka ya Tiba na Vifaa Tiba (TMDA)
#ChanjaUsalimike
#SongweInachanja
#UjanjaKuchanja
Katika kuhakikisha chanjo ya UVIKO 19 inawafikia watanzania wengi zaidi bila kujalisha wapi walipo, wataalam wa afya wanapita mtaa kwa mtaa kutoa elimu juu ya faida ya kupata chanjo hio.
Korona ipo usichukulie poa.
#ChanjaUsalimike
#SongweInachanja
#UjanjaKuchanja
Together we can tackle misinformation about #Covid19 and we can fight for a stronger Africa. #Ujanjakuchanja #Tanzaniaikotayari
Unawaji mikono kwa maji tiririka na sabuni utakuweka salama dhidi ya magonjwa hatarishi kama UVIKO-19.
#UjanjaKuchanja #MtuNiAfya