Kinya N. Gitonga(@kinyaNGitonga) 's Twitter Profile Photo

Mjue mhudumu wako wa afya ya akili.
Je, Kinya ni nani?
Una mchango gani katika kuboresha afya yako ya akili?
youtu.be/FYbCcUnZH98?si…

account_circle
The Voice(@TheVoic23) 's Twitter Profile Photo

Kampeni ya afya ya Akili πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Karibu kujifunza maana ya afya ya Akili .

Tukiwa na Imani kubwa kuwa hakuna afya bila afya ya akili.

Ndio maana unapokuwa hauko Sawa kiakili basi hata utendaji wako wa kazi unapungua

Tunza afya yako ya akili ikutunze 😊

Kampeni ya afya ya Akili πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Karibu kujifunza maana ya afya ya Akili . 

Tukiwa na Imani kubwa kuwa hakuna afya bila afya ya akili.

Ndio maana unapokuwa hauko Sawa kiakili basi hata utendaji wako wa kazi unapungua 

Tunza afya yako ya akili ikutunze 😊
#afyayaakili
account_circle
Pharmadawa(@pharmadawaa) 's Twitter Profile Photo

WORLD MENTAL HEALTH DAY // SIKU YA AFYA YA AKILI, OKT 10

Siku ya Afya ya Akili Duniani huadhimishwa tarehe 10 Oktoba kila mwaka, kwa lengo la kuongeza uelewa na kuchagiza mazungumzo kuhusu masuala ya afya ya akili.

WORLD MENTAL HEALTH DAY // SIKU YA AFYA YA AKILI, OKT 10

Siku ya Afya ya Akili Duniani huadhimishwa tarehe 10 Oktoba kila mwaka, kwa lengo la kuongeza uelewa na kuchagiza mazungumzo kuhusu masuala ya afya ya akili. 

#MentalHealthDay #AfyaYaAkili #PumzishaBichwaHilo
account_circle
Theresia Chaki(@theresia_chaki) 's Twitter Profile Photo

Kuimarisha Ustahimilivu wa Hisia:

Msaada wa kisaikolojia wa mara kwa mara husaidia kujenga ustahimilivu au uvumilivu wa hisia, kuwawezesha watu kuondokana na changamoto na kuzoea mabadiliko kwa urahisi zaidi.

|

Kuimarisha Ustahimilivu wa Hisia:

Msaada wa kisaikolojia wa mara kwa mara husaidia kujenga ustahimilivu au uvumilivu wa hisia, kuwawezesha watu kuondokana na changamoto na kuzoea mabadiliko kwa urahisi zaidi. 

#ElimikaWikiendi | #AfyaYaAkili
account_circle
Thoema Matungu(@ThoemaMatungu) 's Twitter Profile Photo

Kampeni ya afya ya Akili πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Karibu kujifunza maana ya afya ya Akili .

Tukiwa na Imani kubwa kuwa hakuna afya bila afya ya akili.

Ndio maana unapokuwa hauko Sawa kiakili basi hata utendaji wako wa kazi unapungua

Tunza afya yako ya akili ikutunze 😊

Kampeni ya afya ya Akili πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Karibu kujifunza maana ya afya ya Akili . 

Tukiwa na Imani kubwa kuwa hakuna afya bila afya ya akili.

Ndio maana unapokuwa hauko Sawa kiakili basi hata utendaji wako wa kazi unapungua 

Tunza afya yako ya akili ikutunze 😊
#afyayaakili
account_circle
Glory Livingstone(@GloryLivingst13) 's Twitter Profile Photo

Tunza afya yako ya akili ,

β€’ Kujijali
β€’ Kuweka mipaka na kuweza kusema hapana
β€’ Kushiriki Katika shughuli zinazokuletea furaha
β€’ Kufatuta namna nzuri ya kukabiliana na changamoto
β€’ Kutafuta msaada



Tunza afya yako ya akili ,

β€’ Kujijali 
β€’ Kuweka mipaka na kuweza kusema hapana 
β€’ Kushiriki Katika shughuli zinazokuletea furaha 
β€’ Kufatuta namna nzuri ya kukabiliana na changamoto
β€’ Kutafuta msaada 

#afyayaakili 
#mentalhealth 
#MentalHealthMatters
account_circle
The Voice(@TheVoic23) 's Twitter Profile Photo

Usikubali mwingine ajiue Wala wewe usijiue, uonapo viashiria vya namna hii Kwa mtu ambaye hujazoea kuviona msaidie haraka sana, ukiviona kwako pia jitahidi kuomba ushauri

KAZI iendelee


Usikubali mwingine ajiue Wala wewe usijiue, uonapo viashiria vya namna hii Kwa mtu ambaye hujazoea kuviona msaidie haraka sana, ukiviona kwako pia jitahidi kuomba ushauri

KAZI iendelee
#kataakitanzichallenge 
#suicidepreventioweek 
#afyayaakili
account_circle
Vanessa Amada Foundation(@VAFTanzania) 's Twitter Profile Photo

Mei Kila mwaka hutumika katika kuadhimisha utoaji wa Elimu juu ya .

Katika kuadhimisha Hilo Taasisi ya Vanessa Amada Foundation inatarajia kuadhimisha Kwa kutoa Elimu ya Kwa shule za Sekondari na Vyuo katika Mkoa wa Dodoma.

Mei Kila mwaka hutumika katika kuadhimisha utoaji wa Elimu juu ya #AfyaYaAkili.

Katika kuadhimisha Hilo Taasisi ya Vanessa Amada Foundation inatarajia kuadhimisha Kwa kutoa Elimu ya #AfyaYaAkili Kwa shule za Sekondari na Vyuo katika Mkoa wa Dodoma.

#MentalHealthAwarenessMonth
account_circle
Vanessa Amada Foundation(@VAFTanzania) 's Twitter Profile Photo

Timu ya Vanessa Amada Foundation Leo imeshiriki katika mkutano wa kwanza kabisa wa Maswala ya Akili Bandia Kwa Maendeleo ya Bara la Africa uliofanyika Katika Ukumbi wa Kimataifa wa Arusha, Tanzania.

inaweza kutumia katika matibabu na kutoa Elimu ya katika jamii.

Timu ya @VAFTanzania Leo imeshiriki katika mkutano wa kwanza kabisa wa Maswala ya Akili Bandia #AI Kwa Maendeleo ya Bara la Africa uliofanyika Katika Ukumbi wa Kimataifa wa Arusha, Tanzania.

#AI inaweza kutumia katika matibabu na kutoa Elimu ya #AfyaYaAkili katika jamii.
account_circle