Unacheza gemu au una-stream zaidi?
Fanya yote kwa pamoja ukiwa na router zetu.
Piga 𝟎𝟕50 60𝟎 908
#BiasharaPamoja #TuaminiSisi #ZaidiYaMtandao
Smart Kitochi Plus ina ofa kabambe kwako mteja wa Mtandao Supa ambapo utafurahia GB 24, SMS 3000, Dakika 600 kwa muda wa miezi 6.
Tembelea duka lolote la Vodacom lililo karibu yako uweze kujipatia yako kwa Tsh 60,000 tu. #PamojaTunaweza #ZaidiYaMtandao
Kwanini upitwe?
Furahia vifurushi bomba vya intaneti kutoka Mtandao Supa, vifurushi vya siku,wiki au mwezi.
Piga *149*01# > Internet
#PamojaTunaweza
#ZaidiyaMtandao
Simu mpya imefika kitaani! Tuambie mpangilio upi unajenga simu hii?
Shusha jibu hapo chini kwenye comments. #ZaidiYaMtandao #PamojaTunaweza
Tumekuletea Vocha za bure kabisa!
Kuwa wa kwanza kuingiza namba hizi ujishindie vocha ya Tshs 3000 papo hapo!
Endelea kufuatilia kurasa zetu kufurahia zawadi za vocha kila wiki!
#PamojaTunaweza #ZaidiyaMtandao
Umemuona staa wako? Mtag na endelea kuwa nasi kujua kinachojiri.
#EzraUkweliUpemuda #zaidiyamtandao #EZRAONVTV
Wakali wa hesabu mpo?? Tumia muda wako kufikiri kidogo, kisha tupe jibu sahihi kwenye comments hapo. #ZaidiYaMtandao #WeekendChallenge
Tumekuletea Vocha za bure kabisa!
Mchongo ni huu:
✅Watag marafiki zako wasikose zawadi hii nono kutoka Mtandao Supa.
✅Fuatilia kurasa zetu uwe wa kwanza kuona vocha hii inapotolewa.
✅Kuwa wakwanza kuingiza vocha hii kwenye simu.
✅Jishindie vocha!
#ZaidiyaMtandao
Mtandao wa kasi ya 5G uliyoenea nchi nzima (bara na visiwani) Kwa gharama nafuu kulingana na matumizi Yako unasubiri Nini💪💪
Vodacom Tanzania #ZaidiYaMtandao #PamojaTunaweza
Je unafahamu kuwa Ukiwa mteja mpya wa Vodacom Tanzania utaweza kutuma pesa hadi Tsh 50,000 bila Tozo wala ada ya M-Pesa na kutoa hadi Tsh 50,000 kwa wakala bila Tozo. Jiunge na mtandao supa ulioonea nchi nzima.
#PamojaTunaweza
#ZaidiYaMtandao
Aisee sikujua kuwa ukinunua bando Kwa M-PESA unarudishiwa Hadi 15% ya pesa yako Hadi nilipopata hili zali la mentali😂
Na kingine kizuri kabisa hakuna TOZO za ziada ukitumia M-PESA
Mwisho kabisa huu ndo mtandao supa kabisa Tanzania
Vodacom Tanzania #PamojaTunaweza#ZaidiYaMtandao
Jiunge nasi kesho kwenye kurasa zetu za Facebook, Instagram na Tiktok upate nafasi ya kujishindia zawadi safiii!
Watag marafiki zako wasikose zawadi nono kutoka Mtandao Supa
Usiseme hatukukwambia.
#ZaidiyaMtandao
#PamojaTunaweza
Wajanja wote wanatumia mtandao wa Vodacom huu ni #ZaidiYaMtandao unafurahia GB za kuzidi sana na kasi ya intanet ya 5G ambayo imeenea nchi nzima ambapo utaperuzi vile unavyotaka.
Utaongea na wapendwa wako bila mawazo kwakuwa kuna vifurushi vya bei nafuu kabisaa (ya kwako tu)
Jiunge na Mtandao wa kasi ya 5G uliyoenea nchi nzima (bara na visiwani), pata Vifurushi vya bei nafuu vinavyoendana na matumizi yako, Rudishiwa 15% unaponunua bando kupitia M-Pesa, Furahia miamala bila TOZO kwa viwango chini ya Tsh 50,000. #ZaidiYaMtandao #PamojaTunaweza
Hii ndio Vodacom Tanzania Mtandao wa kasi ya 5G uliyoenea nchi nzima. Utapata vifurushi ya bei nafuu vilinavyoendana na matumizi yako. 🔥
Rudishiwa 15% unaponunua bando kupitia M-Pesa. Furahia miamala bila TOZO kwa viwango chini ya Tsh 50,000 #ZaidiYaMtandao #PamojaTunaweza
Unasubili nini..? Hakika hii sio ya kukosa kutoka mtandao Supa Tanzania Vodacom Tanzania ni #ZaidiyaMtandao Unaweza kuongea na Ndugu, jamaa na Marafiki kwa vifurushi vya Dakika za bei nafuu (Yakwako tu)
Kubwa kuliko unapo nunua kwa Mpesa Unarudishiwa 15% ya gharama la bando.
Ni wikiend hii mtumie pesa mtu umpendae kupitia M-pesa bila tozo Kisha unga bando ili uweze kuperuzi intanenti yenye Kasi ya 5G.
Washauri marafiki zako wajiunge na Vodacom Tanzania ili watume pesa mpaka Tsh.50,000/= bila tozo Wala ada ya M-pesa
#PamojaTunaweza
#ZaidiYaMtandao
Hakuna TOZO, pokea na tuma pesa bila MAKATO ya ziada kupitia mtandao supa wa Vodacom Tanzania pia pata 15% ukiongeza salio kupitia Mpesa. Piga *150*00# halafu fata maelekezo.
Endelea kufurahia Kasi ya 5G ya vodacom iliyoenea zaidi Tanzania nzima
#PamojaTunaweza
#ZaidiYaMtandao